umukagame
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,044
- 675
Mie ninavyoona life ya sasa hivi,,
Ukipata mwanaume/mwanamke anaekupenda kwa dhati,akakuheshimu,akakutunza hata kama ana migegedo mingine we kaa tuliza mshono uache maisha yaendelee coz ukosema utafute wa peke yako utaachwa/utaachika daily!
Ama uongo
Ukipata mwanaume/mwanamke anaekupenda kwa dhati,akakuheshimu,akakutunza hata kama ana migegedo mingine we kaa tuliza mshono uache maisha yaendelee coz ukosema utafute wa peke yako utaachwa/utaachika daily!
Ama uongo