Maisha ya Pierre 'Likwidi'

Maisha ya Pierre 'Likwidi'

Umaarufu ameupata kutokana kucheza muziki hasa WA WCB na kuchekesha watu kwani uwa ameshakunywa, binafsi jamaa anavutia watu wengi kwenye kuchekesha , kingine huyu mshikaji ni dalali , kingine Ile ni kama ni marketing strategy ( promotion) ya products mbalimbali kwani uangaliwa na watu wengi , mi binafsi nimeujua vizuri wimbo WA fire waist kupitia huyu jamaa
dah mwenyew nimeanza upenda huo wimbo baada kumuona piere anaucheza aiseee..
 
nilichogundua watu wengi wa jf wana wivu kinyama, yani kuna watu wanapiga harakatiusiku na mchana ila hawatoboi lakini wanashangaa bwana Pierre katoboa kimasikhara.
wanaanza mara oooh jamaa dishi limeyumba mara oooh watanzania waapay attention kwa vitu vya kijinga. Inabidi muelewe maisha hayana formula acha kila mtu atoke kwa staili yake muache bwana pierre ale maisha.
EVERYBODY SEIYEEEEEEEE!!
AAAH MAMAAAA NAKUFAAA


Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilichogundua watu wengi wa jf wana wivu kinyama, yani kuna watu wanapiga harakatiusiku na mchana ila hawatoboi lakini wanashangaa bwana Pierre katoboa kimasikhara.
wanaanza mara oooh jamaa dishi limeyumba mara oooh watanzania waapay attention kwa vitu vya kijinga. Inabidi muelewe maisha hayana formula acha kila mtu atoke kwa staili yake muache bwana pierre ale maisha.
EVERYBODY SEIYEEEEEEEE!!
AAAH MAMAAAA NAKUFAAA


Sent using Jamii Forums mobile app
Liquid fire
 
Kajamaa upstairs zitakuwa hasi na chanya zimeingiliana, kuna siku anahojiwa akaulizwa umeoa akajibu bado umri ukifika nitaoa. Mtangazaji akamuuliza unaumri gani akasema kama 45 hivi nakumbuka, hapo nika'conclude hayupo sawa.
Kwani umri gani rasni wa mtu kuoa na ukianiambia huo umri pia uniambie ni nani aliyeweka iyo age limit ya mtu kuoa. Mpaka useme kuwa uliposikia akisema 45years yeye bado ni mtoto wewe ukadhani na kumuona moja kwa moja kuwa haziko sawa kichwani mwake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndio Tanzania ya uchumi wa kati tanzania ya viwanda, mlevi anajulikana kuliko gwiji wa hisabati, kemia na fizikia.
 
They are just using him...anapenda ulabu basi sasa hivi angekuwa na mchuzi wa nguzi …..kama angesajili misemo yake…..
"its okeyyyyy"
"FIRE LIQUID..TIPS...NK
ya kwake kaitoa wapi wakati yeye kaikuta
 
Hivi huyu unpopular wake ni huko kulewa na kusema liquid?Watanzania wanapenda kufuatilia mambo ya kipumbavu. Huyu sijawahi angalia hata interview yake moja.
Wakifuatilia ya kupanda na kushuka kwa dollar na shilingi watakufa kama upupu,bora wamcheck Athumannnnn tajiriii na Lili utabaki kuwa juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom