Maisha ya Pierre 'Likwidi'

Maisha ya Pierre 'Likwidi'

Kajamaa upstairs zitakuwa hasi na chanya zimeingiliana, kuna siku anahojiwa akaulizwa umeoa akajibu bado umri ukifika nitaoa. Mtangazaji akamuuliza unaumri gani akasema kama 45 hivi nakumbuka, hapo nika'conclude hayupo sawa.
Hahahahaha!!!
Hiyo hasi na chanya imenikumbusha dogo mmoja anasema kichwani kwake ni vurugu match, huku hasi kule chanya..
 
Eti analewa alafu anaanza kusema Hatari faya.. konk liquid .. itabaki kua juu.. mamaaaa nakufaa Leo.. hiyooooooooo imepenyaaa imepaaa hewaniiii... isokey!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]dah Huyu jamaa bana!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha popote, ndio maana wanasema usidhani umechelewa kupata mafanikio Mungu pekee ndiye anayejua lini utafanikiwa. Kuna vijana wadogo wanaumia na wanakufa kisa kutafuta mafanikio, Piere wa watu hamuibii mtu , ulevi wake na ucheshi wake vinamfanya afanikiwe akiwa na zaidi ya miaka 45 sasa. ANAKULA, ANAKUNYWA, ANAVAA NA ANALAA BURE akiwafanyia watu promo nyie wengine mnabaki mkimbeza eti mlevi tu mtu mzima hovyo huku wewe mtu mzima mwenye akili ukibaki unapigwa jua unauza mihogo. The guy saivi hadi anapanda ndege anavuka boda wengine tunabaki tunashangaa. Maisha ni kutokukata tamaa na mtu asikuambie umechelewa labda kama yeye ndie amekuleta duniani.

HATARI FIRE...!!!!!!
 
Yaani Tz vitu vya kijinga jinga ndiyo vinashangiliwa sana
Unajua wakina joti na mpoki walianzaje kuigiza? endelea kuita vitu vya kijinga wakati watu wanapiga hela, kwenye biashara hakuna kitu muhimu kama marketing, mtu kama huyu anatumika vitu kwenye marketing ndio maana unaona wanamtumia na wanamlipa, mwenzako saivi hatumii hata sh mia yake kwenye matumizi ya kila siku na maybe kuna kidogo anachosave(akitumia akili), sasa wewe subiri mshahara wako wa laki 3(bado haujakatwa P.A.Y.E, VAT, NSSF,NHIF, ETC) huku unasema vitu vya kijinga.
 
Mzee wa Dallas

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Unajua wakina joti na mpoki walianzaje kuigiza? endelea kuita vitu vya kijinga wakati watu wanapiga hela, kwenye biashara hakuna kitu muhimu kama marketing, mtu kama huyu anatumika vitu kwenye marketing ndio maana unaona wanamtumia na wanamlipa, mwenzako saivi hatumii hata sh mia yake kwenye matumizi ya kila siku na maybe kuna kidogo anachosave(akitumia akili), sasa wewe subiri mshahara wako wa laki 3(bado haujakatwa P.A.Y.E, VAT, NSSF,NHIF, ETC) huku unasema vitu vya kijinga.
Huyu anaigiza au analewa ndo apige kelele?
 
Leo nimemsikia kwenye tangazo la vodacom.
Katulia fresh kabisa, everybody say yeaaaahhhh yeah, aaaa mama nakufa, liquid fire
 
Back
Top Bottom