hahahahahaha nyie watu mmenichekesha sanaHahahaaahaaaah!
BABY SUPRIIIIIIIIIIISE!,...lol!
Kumbe angejuaa unaokoa jahazi!, lakini kazi inakukuja kwenye kuchunga pochi, asije ingiza mkono kutafuta tissue akakutana na "TISSUE"..hehehe!
Mbio za sakafuni tu hizi!!Habar za usiku huu wakuu
niende moja kwa moja kwa kile nilitaka kusema kuhus maisha ya u single lady
kikubwa ninachogundua nakuwa na utulivu mkubwa wa kufanya kazi tena kwa ufanisi na mafanikio makubwa
pili Naweza kaa hata 3 hrs bila kushika simu tofauti na zamani nikikaa dk 10 mbali na simu unakuta micd call 10 na lawama juu.
Pili Napanga mambo yangu nnavyotaka mwenyewe sigombwi
Kama na wewe ni single lady em ongezea na mengine unayopitia
Nimerefer maelezo yako, kumbe zikoje sasa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] sio zilizotoboka bwana!!!
MakubwaNimerefer maelezo yako, kumbe zikoje sasa
Yan we acha tuuu.duh[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] ngastuka[emoji121]
WAZEE WA MIAMALA MNAKARIBISHWA KABISA HAPA!
HILI NI TANGAZO LA FREE MARKET ECONOMY.
[emoji121] [emoji121] [emoji121]
Ha haa... Naona unataka umbanie utamu mwenzioTeh
Halafu nimekusanukia wewe unalinda minara ya simu. Unaonekana saa 5 saa 6 tu
Sina hiyo eksipiriensi ya kila dk 10......Ha haa... Naona unataka umbanie utamu mwenzio
iyo avatar ni yako mamaHabar za usiku huu wakuu
niende moja kwa moja kwa kile nilitaka kusema kuhus maisha ya u single lady
kikubwa ninachogundua nakuwa na utulivu mkubwa wa kufanya kazi tena kwa ufanisi na mafanikio makubwa
pili Naweza kaa hata 3 hrs bila kushika simu tofauti na zamani nikikaa dk 10 mbali na simu unakuta micd call 10 na lawama juu.
Pili Napanga mambo yangu nnavyotaka mwenyewe sigombwi
Kama na wewe ni single lady em ongezea na mengine unayopitia
OK kumbe huwa unachukua likizo et, kumbe huwezi kuwa single basi kumbe rahaaaa utamuuuuWala sipatagi nyege hadi kuwe na the guy ninayemuwazia otherwise nakaa miez 6
Sihangaiki kununua vyupi vipya