Maisha ya Norway yapoje?

Maisha ya Norway yapoje?

Hao wapolish ni wangese sana, they are very closed minded. Afu racist sana.

Nmekaa na baadhi ya wazungu katika volunteering org. Hakuna watu poa Kama wafaransa na scanavia people; Swedish na Norwegian wapo poa sana.

Eastern Europe ndo kwa kifala hakuna maisha afu wabaguzi kinoma
Umasikini unafanya watu wawe na roho mbaya,wazungu wa Eastern Europe bado masikini wengi wao wanakimbilia western europe tangu nchi zao kujiunga na European Union(EU)..

Uk wamepiga kura kujitoa kwenye EU sababu kubwa ilikuwa ni wahamiaji kutoka Eastern Europe,Wapolish wao walijiona wameshafika walianza hata kwabagua wazawa weusi wa kingereza
 
Umasikini unafanya watu wawe na roho mbaya,wazungu wa Eastern Europe bado masikini wengi wao wanakimilia western europe tangu nchi zao kujiunga na European Union(EU)..

Uk wamepiga kura kujitoa kwenye EU sababu kubwa ilikuwa ni wahamiaji kutoka Eastern Europe,Wapolish wao walijiona wameshafika walianza hata kwabagua wazawa weusi wa kingereza
Definitely true
 
They take away their freedom, but they dont take their life.
Halafu huyu mfungwa kahukumiwa mwaka mmoja kwa uuzaji wa dawa za kulevya,Tanzania kijiko kimoja cha dawa za kulevya unafunwa miaka 30,kule Mwanza kuna mtanzania alifungwa maisha kwasababu alikamatwa na mirungi...

Wazungu wanaziita nchi za Afrika ni nchi za Dunia ya Tatu,Norway ni mfano mzuri wa dunia ya kwanza,Tanzania ni mfano mzuri wa dunia ya tatu..
 
Halafu huyu mfungwa kahukumiwa mwaka mmoja kwa uuzaji wa dawa za kulevya,Tanzania kijiko kimoja cha dawa za kulevya unafunwa miaka 30,kule Mwanza kuna mtanzania alifungwa maisha kwasababu alikamatwa na mirungi...

Wazungu wanaziita nchi za Afrika ni nchi za Dunia ya Tatu,Norway ni mfano mzuri wa dunia ya kwanza,Tanzania ni mfano mzuri wa dunia ya tatu..
Nimetizama nimestaajabu, drug traffickin kala kifungo cha mwaka mmoja, huku mwizi wa kuku mwaka mmoja na nusu, hakimu anasema kabisa "iwe funzo na onyo kwa watu wenye tabia kama yako"
 
scandinavia wamepiga hatua kubwa mkuu japo sijafika Norway ila kwa nilivyoona majirani zao naamini wao ni bora zaidi.

mind you: kama unataka kujua uhalisia wa maisha ya Nchi husika fanya Research mitandaoni hata kwa kutafuta marafiki lakini usiishie hapa ukikutana na mtu aliyeishi akayajua maisha ya hiyo nchi nje ndani huyo ndiye atakayekupa picha halisi.

waliowengi tunasoma humu kisha tunakwambia tumefika.kila la Kheri.
 
Nimetizama nimestaajabu, drug traffickin kala kifungo cha mwaka mmoja, huku mwizi wa kuku mwaka mmoja na nusu, hakimu anasema kabisa "iwe funzo na onyo kwa watu wenye tabia kama yako"
Ndio maana wanatwita dunia ya tatu,tinaishi kama waliyokuwa wakiishi enzi za "cowboys"😀
 
Jamaa sio wabaguzi ila hawako social kama bongo sijui kusalimia bila mpangilio au kupigiana simu et nakuja kukupa hi wakati hamkupanga kukutana.
Wakati nikiwa huko kulikuwa na kampeni ya kuhamasisha watu wazae, ninakumbuka kipindi hicho walikuwa wanasema ukizaa mtoto wa tatu serikali itamgharamia kwa kila kitu(hawa jamaa uzazi wao ulikuwa mtoto mmoja au wawili tu). Vipi hali ikoje kwa sasa?
 
Wakati nikiwa huko kulikuwa na kampeni ya kuhamasisha watu wazae, ninakumbuka kipindi hicho walikuwa wanasema ukizaa mtoto wa tatu serikali itamgharamia kwa kila kitu(hawa jamaa uzazi wao ulikuwa mtoto mmoja au wawili tu). Vipi hali ikoje kwa sasa?
Hadi leo mkuu wanahimizwa wazae ila wagumu kuzaa sijui kwnn?
 
Wakati nikiwa huko kulikuwa na kampeni ya kuhamasisha watu wazae, ninakumbuka kipindi hicho walikuwa wanasema ukizaa mtoto wa tatu serikali itamgharamia kwa kila kitu(hawa jamaa uzazi wao ulikuwa mtoto mmoja au wawili tu). Vipi hali ikoje kwa sasa?
kwann usingetafuta Demu umzalishe?
 
kwann usingetafuta Demu umzalishe?
Muda niliokaa huko haukuwa rafiki kwa yote hayo, ila kwa tabia ya wale hawapapatikii kabisa wakuja. Oslo ndio sehemu unaweza kukuta mwanamme wa rangi tofauti ana mahusiano na demu wa kiNorway, sehemu nyingine ni vigumu sana. Mdau GREGO anaweza kutupa update kwa sasa.
 
Muda niliokaa huko haukuwa rafiki kwa yote hayo, ila kwa tabia ya wale hawapapatikii kabisa wakuja. Oslo ndio sehemu unaweza kukuta mwanamme wa rangi tofauti ana mahusiano na demu wa kiNorway, sehemu nyingine ni vigumu sana. Mdau GREGO anaweza kutupa update kwa sasa.
Kama wewe ni domo zege ulitarajia miujiza gani!!?
 
Kawaida ukaenda police ni kwamba anaewahi kutoa taarifa ndio mlalamikajii, sasa wao ndio watakuwahi
Sawa na wafanye vyovyote watakavyo kwasababu yapo juu ya uwezo wao, sisi hatuna uwezo wa kuhoji chochote kwasababu hatupo huru japo tunaaminishwa kwamba tupo huru.

Mimi nitaendelea kutamani tuu kwenda kuwa mfungwa Norway kuliko kuwa huru hapa nyumbani.
 
Kwani huko jela za Norway wanatoa papuchi na mitulinga

Maana kwangu mimi vitu hivyo viwili ndio vinanifanya nijione huru na mwenye raha hapa duniani
 
Back
Top Bottom