Lovebird
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 6,711
- 10,084
1. Mchaga neno Kupenda ni Msamiati
2. Akiwa hana hela anaugua/anakuwa mkali sanaaaaaaaaa
3. Ni heri akakununulia bia 3-5 baa kuliko kukupa "cash" uende ukatumie hata kama ni kununulia unga/mafuta ya kupikia
4. Walizoea kuacha wake vijijini (kwa baba mkwe)...wanakuja mjini kutafuta pesa/mbesa/leeryi/...kijijini akirudi anakutana na watoto wanaofanana nae (baba mkwe katungua tunda)
5. Huwa hatoi hela asubuhi...kama ni hela za matumizi lazima ziombwe jioni na atatoa jioni (walikuwa wanaamini ukianza kutoa hela asubuhi siku nzima utakuwa unatoa hela tu)
6. Endelea ...........
2. Akiwa hana hela anaugua/anakuwa mkali sanaaaaaaaaa
3. Ni heri akakununulia bia 3-5 baa kuliko kukupa "cash" uende ukatumie hata kama ni kununulia unga/mafuta ya kupikia
4. Walizoea kuacha wake vijijini (kwa baba mkwe)...wanakuja mjini kutafuta pesa/mbesa/leeryi/...kijijini akirudi anakutana na watoto wanaofanana nae (baba mkwe katungua tunda)
5. Huwa hatoi hela asubuhi...kama ni hela za matumizi lazima ziombwe jioni na atatoa jioni (walikuwa wanaamini ukianza kutoa hela asubuhi siku nzima utakuwa unatoa hela tu)
6. Endelea ...........