Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
Maisha ya magereza wengi tumezoea kuyaona kwenye muvi na miziki hasa ya Kimarekani. Magereza ya huko kuna ubabe uliokithiri, magenge na kubakana kwa sana.
Kwa hapa Tanzania haya mambo nayo yapo?
Kwa hapa Tanzania haya mambo nayo yapo?