Maisha ya magereza ya Tanzania ni kama jela za Marekani?

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,080
Maisha ya magereza wengi tumezoea kuyaona kwenye muvi na miziki hasa ya Kimarekani. Magereza ya huko kuna ubabe uliokithiri, magenge na kubakana kwa sana.

Kwa hapa Tanzania haya mambo nayo yapo?
 
Umekosea kuandika MTU anayeishi jela marekani ambaye anakesi za kawaida MAISHA ni mazuri ndani ya jela kuzidi hata MTU aliyepo huru Tz

So jifunze kuwa deep conscious.
 
Back
Top Bottom