mpingomkavu
Member
- Nov 26, 2010
- 94
- 0
Jana wakati nasikiliza BBC kuna mchambuzi mmoja toka Libya akawa anaelezea maisha ya wananchi wa Libya kwamba, ELIMU BORE BURE,AFYA BORA BURE, UMEME NA MAJI BURE NYUMBA UNAPEWA NA SERIKALI BURE,Na zipo nyumba kama 7000 hazina watu. Mchambuzi alienda mbali zaidi kwa kusema kuwa hadhi ya hospital huwezi linganisha na MUHIMBILI,Lakini wananchi wamesema Gadaffi inatosha pisha na wengine, Leo hii Tanzania mwananchi kupata mkate wake wa kila siku ni shida, wafanyakazi wanaishi kwa mikopo tu,LAKINI BADO WANAWAPIGA KURA CCM, KWELI AKILI ZETU ZIMEFUNGWA MPAKA BABA WA TAIFA AJE KUZIFUNGUA.Nauliza hiv sisi ni nini kinatushinda?