Maisha ya kujifanya Che Guevara bongo utaumia

Maisha ya kujifanya Che Guevara bongo utaumia

Sasa hivi wameshaanza kumuita polepole ni mpumbavu kwanini akamatwe kindezi namna ile....
 
Kupambania wapuuzi ni upuuzi .

Sawa Mzee wanaolia ni familia yako na wewe ndio unaumia wabongo wanakusahau wanaEnjoy TikTok, Leo nani anamsemea Mdude ?
Kuna wapuuzi Tanzania zaidi ya wanasiasa ?🙄🙄🙄 wanasiasa wa upinzani na wa chama tawala ndiyo wapuuzi....vyama vya upinzani tz tulivishauri sana ila avikusikia lro vina lia ...siku zote mpumbavu ujifunza kwa hasara na maumivu na uchungu mkubwa sana
 
Rejea kichwa Cha Uzi .

Kujifanya wewe mpambanaji kupambania watu wasiojitambua ni kazi ya kiboya.

Wewe Kaa na familia tulia kula ugali dagaa maisha yaendelee .
Magayo umerudi tena na mavi umejipakaa kichwani?
 
wabongo wanakusahau mapema sana wanaEnjoy TikTok, Leo nani anamsemea Mdude na Ben Saanane ?
Inamaana hata juzi hapo hujamuangalia Captain akiongea? Mwanangu unataka nikuingize ignore hii nimekustahi ila ukiendelea hivi nakupunguza na ID zako zingine zote nazizuia
 
Wajinga kama nyie hata huku jf muondoke tu, huna faida,
Unajaza watu upumbavu ulionao
 
Back
Top Bottom