Maisha ya kujifanya Che Guevara bongo utaumia

Maisha ya kujifanya Che Guevara bongo utaumia

Rejea kichwa Cha Uzi .

Kujifanya wewe mpambanaji kupambania watu wasiojitambua ni kazi ya kiboya.

Wewe Kaa na familia tulia kula ugali dagaa maisha yaendelee .
Kwa hiyo unawatisha watanganyika kuw wasipiganie haki yao
 
Halafu we mayai akili zako zipo tumboni siyo kichwani kabisa, umeshiba makande mabichi nyumbani kwenu unakuja unapayuka hovyo tu hapa, sisi ndo tumesha sema tarehe 29 kinaumana, waje na bunduki waje na malungu tutawafunza adabu mwaka huu alaaa.
Upuuzi mtupu!
Maandamano ya October 29 ni utani tu kwa jeshi la polisi na vyombo vingine vya usalama!.
Maandamano yenyewe haijulikani yamaanzia wapi hadi wapi!
Eti ukiamka asubuhi ukiona mtu mfuate tu mkaandamane!.
Je kama anaenda kazini kwake au anaenda kupiga kura?!
Mtu ukiamka asubuhi utatafautishaje nani yupo kwenye maandamano na nani anaenda kazini kwake na nani anaenda kupiga kura?!
Tangazo la maandamano ni utani kwa jeshi la polisi kuwachangamsha kwa kuwa na tahadhari za hapa na pale lakini watu wataandamana mitandaoni!
 
Wabongo wahuni tu utawaona mitandaoni wanavokujaza na kukupa bichwa likikukuta lakukuta wanaufyata na kukucheka 😂 maisha haya bora utulie uchome kreti tu
 
Unachokiongea kina Uhalisia mkubwa lakini kamwe Mwanaume hakiogopi Kifo. Elewa maana ya neno Mwanaume sio hao kina mwijaku
 
Upuuzi mtupu!
Maandamano ya October 29 ni utani tu kwa jeshi la polisi na vyombo vingine vya usalama!.
Maandamano yenyewe haijulikani yamaanzia wapi hadi wapi!
Eti ukiamka asubuhi ukiona mtu mfuate tu mkaandamane!.
Je kama anaenda kazini kwake au anaenda kupiga kura?!
Mtu ukiamka asubuhi utatafautishaje nani yupo kwenye maandamano na nani anaenda kazini kwake na nani anaenda kupiga kura?!
Tangazo la maandamano ni utani kwa jeshi la polisi kuwachangamsha kwa kuwa na tahadhari za hapa na pale lakini watu wataandamana mitandaoni!
Hehehe uyo anaewajaza watu waandamane yuko marekani afu anakwambia uandamane ukivunjwa mguu watoto familia itakula nini
 
Tarehe 29 mtaishia kuandamana humuhumu mitandaoni!
Hakuna mtu atakaetoka barabarani kuandamana.
Rais na Amiri jeshi mkuu ameishasema kwamba vyombo vya ulinzi na usalama ambavyo vipo chini yake vimeishamhakikishia kuwa vimejiandaa kuhakikisha uchaguzi unafanyika katika mazingira ya amani!
Hakutakuwa na NYWINYWI wala NYWINYWINYWI!.
Zuchu unazingua. Mama yako Bi Khadija Kopa hana sifa ya uamiri jeshi mkuu! Taarabu/vichambo na jeshi, wapi na wapi!
 
Upuuzi mtupu!
Maandamano ya October 29 ni utani tu kwa jeshi la polisi na vyombo vingine vya usalama!.
Maandamano yenyewe haijulikani yamaanzia wapi hadi wapi!
Eti ukiamka asubuhi ukiona mtu mfuate tu mkaandamane!.
Je kama anaenda kazini kwake au anaenda kupiga kura?!
Mtu ukiamka asubuhi utatafautishaje nani yupo kwenye maandamano na nani anaenda kazini kwake na nani anaenda kupiga kura?!
Tangazo la maandamano ni utani kwa jeshi la polisi kuwachangamsha kwa kuwa na tahadhari za hapa na pale lakini watu wataandamana mitandaoni!
Akiri za kushikiwa nazo ni changamoto, kwahiyo ccm ndivyo mnavyo jifariji hivyo, kuhusu maandamano yanaanzia wapi na yanaishia wapi hukuona wakenya walianza vipi au unadhani walianzia nyumbani kwako, dar ni ndogo hii ila watu ni wengi tukisema tutoke kila mtu chumbani kwake hakuna haja ya kukutana sehemu moja, tunakiwasha kuanzia nilipo tunasnnga mahali kwenye mzuka zaidi...
 
Kwa hiyo unawatisha watanganyika kuw wasipiganie haki yao
Kupambania wapuuzi ni upuuzi .

Sawa Mzee wanaolia ni familia yako na wewe ndio unaumia wabongo wanakusahau wanaEnjoy TikTok, Leo nani anamsemea Mdude ?
 
Back
Top Bottom