Alkam Alkam
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 602
- 509
Inamani yako na muandishi itakua tofauti,amini unacho amini.Hakuna mtu anayeishi kaburini wewe! Acha uongo. Mtu akifa, nafsi nayo hupotea ila roho hurudi kwa Mwenyezi. Huko sasa Mwenyezi ndio atakapoamua uende peponi au ahera. Mwili ulio kaburini unaoza na kuwa udongo.