BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,060
- 10,526
Lengo si kudharua Bali ni uhalisia.
Kwa wasio ifahamu Missenyi ni moja kati ya wilaya zinazopatikana mkoani kagera imepakana na wilaya ya karagwe, Bukoba vijijini na nchi ya Uganda pia ni eneo ambalo linapatikana kiwanda kikubwa cha sukari KAGERA SUGAR.
1. Ni wilaya ambayo uchumi wake mkubwa unategemea mwekezaji(Kagera sugar) Trust me wewe kama sio mwajiriwa wa serikali au mwajiriwa wa kampuni ya sukari uwezi kutamani kuishi wilaya ya Missenyi
2. Ni wilaya ambayo haina mazingira rafiki kwa kilimo sababu asilimia kubwa ya eneo lake ni mashamba ya miwa ya mwekezaji(kagera sugar) maeneo yaliyobaki ni hifadhi za maliasili na tetesi zilizopo ni kuwa mwekezaji anakula njama na serikali ili wananchi wengi wasijiajili kwenye kilimo waende kufanya kazi kwenye mashamba ya miwa kama vibarua.
3. Biashara. Mzunguko wa pesa unachanganya mwisho wa mwezi na mwanzo wa mwezi tu kutokana na kuwa na wakazi wengi ambao ni waajiriwa kwenye kampuni. Kama wewe ni mfanyabiashara inabidi ujiandae kufanya biashara ndani ya vipindi hivyo tu au ukubali kufanya biashara ya kukopesha. Pia wakazi wengi bado wanakasumba ya kununua vitu gulioni ambalo ufanyika jumamosi ya kila wiki hapa mtu yupo tayari kutofanya manunuzi yoyote ndani ya wiki mpaka ifike siku ya gulio kitu ambacho ufanya maduka ya rejareja kuwa na hali mbaya.
4. Fursa za ajira ni chache kuna viwanda viwili tu vikubwa cha kahawa na sukari bahati mbaya kiwanda cha kahawa kimefugwa kutokana na masharti na sheria nyingi za serikali kitu kilichofanya kubakiwa na kiwanda kimoja tu cha sukari.
Kama wewe ni mtafutaji na unatamani kuja wilaya ya missenyi kutafuta pesa huu ni ushauri wangu kwako jiandae kisaikolojia.
Kwa wasio ifahamu Missenyi ni moja kati ya wilaya zinazopatikana mkoani kagera imepakana na wilaya ya karagwe, Bukoba vijijini na nchi ya Uganda pia ni eneo ambalo linapatikana kiwanda kikubwa cha sukari KAGERA SUGAR.
1. Ni wilaya ambayo uchumi wake mkubwa unategemea mwekezaji(Kagera sugar) Trust me wewe kama sio mwajiriwa wa serikali au mwajiriwa wa kampuni ya sukari uwezi kutamani kuishi wilaya ya Missenyi
2. Ni wilaya ambayo haina mazingira rafiki kwa kilimo sababu asilimia kubwa ya eneo lake ni mashamba ya miwa ya mwekezaji(kagera sugar) maeneo yaliyobaki ni hifadhi za maliasili na tetesi zilizopo ni kuwa mwekezaji anakula njama na serikali ili wananchi wengi wasijiajili kwenye kilimo waende kufanya kazi kwenye mashamba ya miwa kama vibarua.
3. Biashara. Mzunguko wa pesa unachanganya mwisho wa mwezi na mwanzo wa mwezi tu kutokana na kuwa na wakazi wengi ambao ni waajiriwa kwenye kampuni. Kama wewe ni mfanyabiashara inabidi ujiandae kufanya biashara ndani ya vipindi hivyo tu au ukubali kufanya biashara ya kukopesha. Pia wakazi wengi bado wanakasumba ya kununua vitu gulioni ambalo ufanyika jumamosi ya kila wiki hapa mtu yupo tayari kutofanya manunuzi yoyote ndani ya wiki mpaka ifike siku ya gulio kitu ambacho ufanya maduka ya rejareja kuwa na hali mbaya.
4. Fursa za ajira ni chache kuna viwanda viwili tu vikubwa cha kahawa na sukari bahati mbaya kiwanda cha kahawa kimefugwa kutokana na masharti na sheria nyingi za serikali kitu kilichofanya kubakiwa na kiwanda kimoja tu cha sukari.
Kama wewe ni mtafutaji na unatamani kuja wilaya ya missenyi kutafuta pesa huu ni ushauri wangu kwako jiandae kisaikolojia.