mpasta
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 917
- 1,997
Sukari mitaani Hali mbaya imefika mpaka bei ya TZS 5,000/= kwa kilo moja.
Mwanzoni tulidhani kupanuliwa kwa kiwanda Cha Kilombero, kuanzishwa kwa viwanda vipya vya BAGAMOYO SUGAR, NSSF-MKULAZI na LAKE AGRO-Rufiji kuyamaliza tatizo la sukari nchini, lakini mabadiliko ya hali ya hewa Duniani yatupe SoMo kama nchi.
Ni wakati Sasa muafaka wa kutafuta vyanzo vingine vya sukari, na tuache utegemezi wa chanzo kimoja tu Cha sukari kutoka kwenye zao la MIWA.
MAREKANI inakisiwa 55-60% ya sukari yake inatokana na zao la "SUGAR BEET" na sio MIWA.
Faida za "SUGAR BEET" unaweza kuvuna mara mbili kwa mwaka, linakomaa ndani ya miezi 5-6 tofauti na MIWA inayokaa shambani miezi 12-14. Lakini pia "SUGAR BEET" inatumiwa maji na mbolea chache kwa chini ya 30% ya gharama za MIWA.
Wizara ya Kilimo ianze Sasa kufanya tafiti za zao la SUGAR BEET, nchi nyingine za Kiafrika kama SUDANI, KENYA, SOUTH AFRICA, na hata bara la Asia kama INDIA wameanza kufanya tafiti za mbegu za SUGAR BEET zinazofaa kwa mazingira ya joto la KITROPIKI.
Nawasilisha wazo langu.
Mwanzoni tulidhani kupanuliwa kwa kiwanda Cha Kilombero, kuanzishwa kwa viwanda vipya vya BAGAMOYO SUGAR, NSSF-MKULAZI na LAKE AGRO-Rufiji kuyamaliza tatizo la sukari nchini, lakini mabadiliko ya hali ya hewa Duniani yatupe SoMo kama nchi.
Ni wakati Sasa muafaka wa kutafuta vyanzo vingine vya sukari, na tuache utegemezi wa chanzo kimoja tu Cha sukari kutoka kwenye zao la MIWA.
MAREKANI inakisiwa 55-60% ya sukari yake inatokana na zao la "SUGAR BEET" na sio MIWA.
Faida za "SUGAR BEET" unaweza kuvuna mara mbili kwa mwaka, linakomaa ndani ya miezi 5-6 tofauti na MIWA inayokaa shambani miezi 12-14. Lakini pia "SUGAR BEET" inatumiwa maji na mbolea chache kwa chini ya 30% ya gharama za MIWA.
Wizara ya Kilimo ianze Sasa kufanya tafiti za zao la SUGAR BEET, nchi nyingine za Kiafrika kama SUDANI, KENYA, SOUTH AFRICA, na hata bara la Asia kama INDIA wameanza kufanya tafiti za mbegu za SUGAR BEET zinazofaa kwa mazingira ya joto la KITROPIKI.
Nawasilisha wazo langu.