mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,254
- 9,168
Mwanangu! Kwa sasa ni dhiki lakini ukistaafu kazi ni ziki KUU
Kuna marafiki watatu watakuwa na wewe sambamba ukishastaafu hilo utake usitake wanakusubiri!
1Kama uliwekeza kwa watoto wako nao wana akili na uchungu na wewe basi wanaweza kukusaidia kupata ugali wako wa kila siku!
2Kama huna watoto wa kukusaidia inabidi urudi tena kwenye ajira tena. mf;Ulinzi kuokota machupa ya maji mitaani nk nk nk! Ili kupata ugali wako wa kila siku!
3Kama kama huna watoto pia hukupata ajira LAZIMA UFE Mwanangu!
Naomba mawazo yenu Great thinkers!
Kuna marafiki watatu watakuwa na wewe sambamba ukishastaafu hilo utake usitake wanakusubiri!
1Kama uliwekeza kwa watoto wako nao wana akili na uchungu na wewe basi wanaweza kukusaidia kupata ugali wako wa kila siku!
2Kama huna watoto wa kukusaidia inabidi urudi tena kwenye ajira tena. mf;Ulinzi kuokota machupa ya maji mitaani nk nk nk! Ili kupata ugali wako wa kila siku!
3Kama kama huna watoto pia hukupata ajira LAZIMA UFE Mwanangu!
Naomba mawazo yenu Great thinkers!