Maisha ukisha staafu kazi serkalini!

Maisha ukisha staafu kazi serkalini!

mgen

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2010
Posts
23,254
Reaction score
9,168
Mwanangu! Kwa sasa ni dhiki lakini ukistaafu kazi ni ziki KUU
Kuna marafiki watatu watakuwa na wewe sambamba ukishastaafu hilo utake usitake wanakusubiri!

1Kama uliwekeza kwa watoto wako nao wana akili na uchungu na wewe basi wanaweza kukusaidia kupata ugali wako wa kila siku!

2Kama huna watoto wa kukusaidia inabidi urudi tena kwenye ajira tena. mf;Ulinzi kuokota machupa ya maji mitaani nk nk nk! Ili kupata ugali wako wa kila siku!

3Kama kama huna watoto pia hukupata ajira LAZIMA UFE Mwanangu!

Naomba mawazo yenu Great thinkers!
 
Aisee, usiongee maneno ya ukweli kiasi hiki bana!...Si ukweli wote unafaa kuusema!:A S 20:
 
NI kweli bongo ukistaafu ni balaa mwanangu. Inawezekana ndio maana wengi wanafanya ufisadi kwani hawana hakika na hatima yao baada ya kustaafu. System yetu ya social security is utterly poor.Ndio maana wengi wa wastaafu wanakufa miaka michache tu baada ya kustaafu. Kuna haja kubwa ya kurekebisha sheria katika mifuko ya pension ili imsaidie mstaafu kuliko sasa ambapo inasaidia vigogo katika mifuko hiyo na vigogo serikalini. Cha ajabu zaidi, muda wa kuishi wa mtanzania (life expectancy) haizidi miaka 55 kwa sasa, lakini muda wa kustaafu sehemu nyingi ni 60+, yaani ni bongo tu ambapo kwanza mtu anakufa then anastaafu.... maajabu haya!
 
Mkuu huu ni ukweli unaotisha! hebu twambie zaidi, unaongea 'with experience' au unakaribia hivyo unawaza itavyokuwa?
 
NI kweli bongo ukistaafu ni balaa mwanangu. Inawezekana ndio maana wengi wanafanya ufisadi kwani hawana hakika na hatima yao baada ya kustaafu. System yetu ya social security is utterly poor.Ndio maana wengi wa wastaafu wanakufa miaka michache tu baada ya kustaafu. Kuna haja kubwa ya kurekebisha sheria katika mifuko ya pension ili imsaidie mstaafu kuliko sasa ambapo inasaidia vigogo katika mifuko hiyo na vigogo serikalini. Cha ajabu zaidi, muda wa kuishi wa mtanzania (life expectancy) haizidi miaka 55 kwa sasa, lakini muda wa kustaafu sehemu nyingi ni 60+, yaani ni bongo tu ambapo kwanza mtu anakufa then anastaafu.... maajabu haya!
hapo blue nimecheka sana thanks for making me laugh:clap2:
 
Hebu toa solution sasa ni nini cha kufanya ili hayo yasikupate.

Mimi nimejianda na some miradi ila sitataka kuwapa watoto wangu mzigo wa kunitunza. kama uko 35 years anza sasa kujiandaa usisubiri ufike 55 yrs la sivyo pressure au kisukari au kiharusi kitakumaliza ukiwaza. tumia akli yako angali uko kijana yaani tumia ujana wako kuandaa uzee wako. .
 
Hebu toa solution sasa ni nini cha kufanya ili hayo yasikupate.

Mimi nimejianda na some miradi ila sitataka kuwapa watoto wangu mzigo wa kunitunza. kama uko 35 years anza sasa kujiandaa usisubiri ufike 55 yrs la sivyo pressure au kisukari au kiharusi kitakumaliza ukiwaza. tumia akli yako angali uko kijana yaani tumia ujana wako kuandaa uzee wako. .

Suluhisho nimelitoa hao juu, kwa waajiriwa inabidi mifuko yetu ya pension iwe restructured kumsaidia mstaafu zaidikuliko ilivyo hivi sasa ambapo haina faida yoyoye kwa mstaafu. Labda kwenye hii katiba mpya linaweza kuingia hilo. Sina hakika kwa aliyejiajiri kuna kustaafu, labda staili yake ya maisha iwe na malengo ya siku za usoni kwamba kuna siku nguvu zitamwishia.
 
Mwanangu! Kwa sasa ni dhiki lakini ukistaafu kazi ni ziki KUU
Kuna marafiki watatu watakuwa na wewe sambamba ukishastaafu hilo utake usitake wanakusubiri!

1Kama uliwekeza kwa watoto wako nao wana akili na uchungu na wewe basi wanaweza kukusaidia kupata ugali wako wa kila siku!

2Kama huna watoto wa kukusaidia inabidi urudi tena kwenye ajira tena. mf;Ulinzi kuokota machupa ya maji mitaani nk nk nk! Ili kupata ugali wako wa kila siku!

3Kama kama huna watoto pia hukupata ajira LAZIMA UFE Mwanangu!

Naomba mawazo yenu Great thinkers!

Nionavyo maisha yalivyo hutakiwi kufikiria hizo solutions. Nahisi kuzaa kwa kutegemea kutunzwa na watoto ni mawazo ya zamani sana. Kuwa na watoto wachache... wawili au watatu..... wape elimu ya maana wajitegemee, badala ya kuwa na watoto wengi.... hela ambayo ungetumia kuwekeza for uzeeni, ukatumia for education, upbringing, fancy goods etc..... I stand to be corrected.
 
Umeongea ukweli mtupu, usiombe ustaafu halafu watoto wako bado wadogo hata sekondari hawajamaliza ndio utaelewa tz ni ya nani.

Nchi za wenzetu wastaafu ndio wana mafao mazuri na uhakika wa huduma za afya hadi wafariki.

Ndio maana vibabu vingi vya kizungu vinakuja africa kuiba dada zetu wakawasidia kula pensheni na kuwaliwaza wakiusbiri kifo.....
 
Mwanangu! Kwa sasa ni dhiki lakini ukistaafu kazi ni ziki KUU
Kuna marafiki watatu watakuwa na wewe sambamba ukishastaafu hilo utake usitake wanakusubiri!

1Kama uliwekeza kwa watoto wako nao wana akili na uchungu na wewe basi wanaweza kukusaidia kupata ugali wako wa kila siku!

2Kama huna watoto wa kukusaidia inabidi urudi tena kwenye ajira tena. mf;Ulinzi kuokota machupa ya maji mitaani nk nk nk! Ili kupata ugali wako wa kila siku!

3Kama kama huna watoto pia hukupata ajira LAZIMA UFE Mwanangu!

Naomba mawazo yenu Great thinkers!

Great Thinker! Ukweli unauma na inatia uchungu haya yakikukuta kama hujajiandaa!
 
Mkuu huu ni ukweli unaotisha! hebu twambie zaidi, unaongea 'with experience' au unakaribia hivyo unawaza itavyokuwa?

Uzoefu Mwana nilikuwa mjeshi nashukuru wanangu wananisaidia
Nikiwaona wajeshi wenzangu tuliostaafu pamoja chozi litakutoka wapo waliokwisha kufa kihoro wapo waliochanganyikiwa wapo walioajiriwa na makampuni ya ulinzi!
Fainali uzeeni!
 
Usiangalie kwa karibu ivo. Kuwekeza kwa watoto siyo guarantee.Unaweza kufanya ivo na wakakutupa.Jiwekee mtaji wa kijamii zaidi.Ishi vizuri na watu hasa walio na umri mdogo zaidi yakO. Kama wewe una ujiko kama bosi mahali jitahidi kuangalia vijana wadogo kicheo, wainue, waangalie kama wanao au wadogo zako.Hii inalipa sana...( nakumbuka walimu wangu na hata wazee waliokuwa mbele kwenye nafasi hatuwasahau hata siku moja.)
Pia unapoweza jiwekee akiba kama fixed deposits, nunua hisa kwenye masoko ya hisa, kata bima za afya na hata ajali, weka vitega uchumi vidogo vidogo mfano nyumba za kupangisha, frame za mafuka nk. Vyote hivi vitakusadia sana. Usithubutu kuanza biashara baada ya kustaafu kwa kutumia pesa ya pensheni hata siku moja. Hudhuria semina za kuwaandaa wastaafu.

Mwisho lakini muhimu zaidi,hakikisha pia unaishi vizuri na mkeo/mumeo/mwenza maana fainali ni uzeeni
 
Usiangalie kwa karibu ivo. Kuwekeza kwa watoto siyo guarantee.Unaweza kufanya ivo na wakakutupa.Jiwekee mtaji wa kijamii zaidi.Ishi vizuri na watu hasa walio na umri mdogo zaidi yakO. Kama wewe una ujiko kama bosi mahali jitahidi kuangalia vijana wadogo kicheo, wainue, waangalie kama wanao au wadogo zako.Hii inalipa sana...( nakumbuka walimu wangu na hata wazee waliokuwa mbele kwenye nafasi hatuwasahau hata siku moja.)
Pia unapoweza jiwekee akiba kama fixed deposits, nunua hisa kwenye masoko ya hisa, kata bima za afya na hata ajali, weka vitega uchumi vidogo vidogo mfano nyumba za kupangisha, frame za mafuka nk. Vyote hivi vitakusadia sana. Usithubutu kuanza biashara baada ya kustaafu kwa kutumia pesa ya pensheni hata siku moja. Hudhuria semina za kuwaandaa wastaafu.

Mwisho lakini muhimu zaidi,hakikisha pia unaishi vizuri na mkeo/mumeo/mwenza maana fainali ni uzeeni
tausi hiyo unaongelea maisha ya nchi za watu kipato gani utakachopata na kuweka fixed deposit ya 4-5% interest alafu iweze kukutunza. hisa ukinunua hazipandi tokea zimefanya IPO
 
Back
Top Bottom