Maisha + pesa + mapenzi?!

Maisha + pesa + mapenzi?!

doh! nimekuwa mgeni wenu kuchangia for the first time.
maisha ni afya bomba, sotea pesa then mapenzi popote na wakati wowote
 
Dah humu jf patamu hata iyo cjui fb haikuti moto hapa dah ndo najifunza funza kui2mia bdo nikama ngumu ngumu kwangu ivi dah.
Big up wajanja wote mliopo humu nai nai xana kwenu!
 
Sipati picha hela haipo, amani haipo na afya njema a.k.a kuduu hakupo! Inakuwaje? na ndio tunaambiwa hadi FOKI kitutenganishe?
 
Back
Top Bottom