Justin Dimee
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,146
- 248
Ktk maisha ukiweza tu kupata hela na mapendo na amani basi yani hapo sasa ndo kutakuwa na maana ya kuwa na maisha sasa tofauti na hapo ukikosa vyote basi bdo maisha huja yapata na ndicho tunachokitafuta hapa duniani na ndiyo amri moja ya kwamba tupendane imetokwa kwa Mungu?!
Ni hayo tu, mi mgeni humu ndani so nikaribisheni basi.
Ni hayo tu, mi mgeni humu ndani so nikaribisheni basi.