makong012
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 240
- 504
usifanye ivyo mkuu tafadhaliKama kuna niliyemkosea JF naomba msamaha nikienda niende na aman
usifanye ivyo mkuu tafadhaliKama kuna niliyemkosea JF naomba msamaha nikienda niende na aman
Kesho akija na uzi kuwa ana maisha mazuri ya raha wakimuuliza kuhusu huu uzi aseme akitania tuWatu wanapoteza tu nguvu zao kumshauri mzee wa Chai.
We nakuelewa boti mojalabda mi nimsaidie mawazo tu kuhusu mchango wa ajira hata mimi nausikilizia sina maelekezo kabisa
Anatania huyo mtoto anamada za kipuuzi nyingiUkifa wazazi wako wata teseka kihisia zaidi ata ya unavyo teseka wewe ,,msdeni sio sababu ya kujiua asee
Mimi niliwahi kua na madeni adi ikafika hatua nikasema silipi mtu liwalo na liwe.
Ila kama una tania we ni ms*nge
Pamoja na kuishi na wazungu huko, unaonekana hujaelimika chochote, unatakuwa muosha vizee au deiwaka na kazi za kishenzishenziMmeanza kujiuza kitaalamu sana..soko ni gumu mno
Umeghairi kujiua kwajili ya mapenzi Mzee.?Maisha yangu yalipo nikama yamenikalia. Nimesoma ila masomo hayajanisaidia.nina maden kibao atamengin sijalipa.
Na tena mimi tuh ndio mtoto wa pekee kwetu nyumbani.baba na mama wote waniangalia. kiujumla nmechoka ata sion faida ya kuishi bora niendee zangu kaburin nikapumzike.
Maisha kwang ni machung sio matamu.saiv nafikiria ni mbinu gani ntakayo tumia nifike ahera mapema.
Ogopa sana watu wanao anzisha nyuzi kila saa, wengi wanatafuta kuzingatiwa .Ila huyu kuna uzi alisema kuna demu anamtamani halafu jana akaja na uzi eti yeye katika maisha yake hajawahi kutamani wanawake alipoulizwa kuhusu uzi wake wa nyuma akasema alikuwa anachangamsha genge tu
Sasa utamuamini vipi kirahisi mtu kama huyo?
Mshauri alime hata kulimqlabda mi nimsaidie mawazo tu kuhusu mchango wa ajira hata mimi nausikilizia sina maelekezo kabisa
umekuja na ID nyingine si ndio?baada ya kufaPamoja na kuishi na wazungu huko, unaonekana hujaelimika chochote, unatakuwa muosha vizee au deiwaka na kazi za kishenzishenzi
Anadhani kifo ni kama kubonyeza moja .Stupid you mleta mada Seleina Tikili Kumbe unatuchezea?
Sawa mkuu….gudubaiKwaherin wadau
ngoja wajeWe nakuelewa boti moja
Ila wenye uwezo wao wampe mchongo kijana life la mtaani gumu
Usikute huyu hana furaha kweli ndio maana anaanzisha nyuzi za kutunga ili afarijikeOgopa sana watu wanao anzisha nyuzi kila saa, wengi wanatafuta kuzingatiwa .
Pia bado hawajawa matured.
Unadhani watu wote million 60 Tanzania tupo comfort zone?
Mbona kesi za kujiua hazipo.
akija kuomba ushauri naweza kufanya hivyo ila asipokuja ndo basi tenaMshauri alime hata kulimq
Akipiga nyeto goli moja tu akili itatulia.
HIZI ZOTE THREAD ZAKO ZA LEOMaisha yangu yalipo nikama yamenikalia. Nimesoma ila masomo hayajanisaidia.nina maden kibao atamengin sijalipa.
Na tena mimi tuh ndio mtoto wa pekee kwetu nyumbani.baba na mama wote waniangalia. kiujumla nmechoka ata sion faida ya kuishi bora niendee zangu kaburin nikapumzike.
Maisha kwang ni machung sio matamu.saiv nafikiria ni mbinu gani ntakayo tumia nifike ahera mapema.