Maisha niliyonayo natamani hadi kufa

Maisha niliyonayo natamani hadi kufa

ooh mpenz,calm down please
Cc: Uhaini
 

Attachments

  • B8940175-399F-4A4E-A504-FA2B0AAC60D9.jpeg
    B8940175-399F-4A4E-A504-FA2B0AAC60D9.jpeg
    216.1 KB · Views: 9
Ipo siku unayoyapitia na ukayapita kama utojiangamiza ikawa ni shuhuda kwa wengine kutovunjika moyo...pole sana, naelewa unalosema.

Kuna kijana wa kihindi nilipo amejitupa ghorofani cuz ya changamoto za kujitahidi lakini mambo hayaendi, anajitahidi kutuma pesa kwao lakini still wanalalamika pesa anatuma kidogo wakidhani anakula raha kumbe anajinyima hasa.

Mungu akupe mpenyo , na wengineo wanaopitia magumu .
 
Back
Top Bottom