Maisha niliyonayo natamani hadi kufa

Maisha niliyonayo natamani hadi kufa

Embu fuata haya maelekezo kaka
 

Attachments

  • 366939fcc2b74dbea7ed51ffe3b1d6c2.jpg
    366939fcc2b74dbea7ed51ffe3b1d6c2.jpg
    14.6 KB · Views: 13
Mkuu Sifi Leo ebu mpe ujasiri huyu kijana wetu make ana dalili ya kupoteza nguvu kazi ya taifa.
 
Watu Wana Anza ivii ivii, mimi still sujarud kazini, msiba wa baba umenibadilisha nimepoteza hamu ya kazii

Hapa nipo nakunywa konyagiiii, sina hamu ya Kila kitu.

Ila Mimi ni brave naweza ishii na hisia mbaya na Huwa natoboa
Nasubiri na mimi baba afe nione je nitakuwa kama wewe?
 
usijiue badala yake saidia wahitaji Organ parts , ni rahisi sana

Naweza kukupa muongozo ukihitaji , pole sana kwa matatizo yanayokusonga
 
Funguka shida zako usaidiwe, kama ni hela ya kula watu wana hela nyingi humu watakusaidia, kama afya utapewa solution faster, sema tuu
 
Ungekuwa serious kweli unataka kujiua ungekuta ushajiua tayari, shida ni kwamba unataka kujiua lakini upande mwingine bado unataka kuishi, shida ni za muda mfupi zinaweza kutatuliwa usikate tamaa pambana kumbuka tunaishi mara moja tu, usiicheze hiyo bahati
 
Nipokee mawingun nifike salama.nimeshachoka sitaki mateso tena.
 
Nahisi kweli unataka kujiuwa.
Homo(mashoga) wengi wanajiuwa kwa msongo wa mawazo.
Unahitaji msaada..
cocastic , Dr. Mariposa msaidieni huyu mtu, jamaa yenu.
Watu wa dini na saikolojia msaidieni mgonjwa huyu.
 
Problem ukute ahera hawakutaki vilevle
Magu akisema huyu simpangishi hata choo umekwisha
 
Back
Top Bottom