Pole sana rafiki yangu usifanye hivyo maisha ni kama mvua itakunyeshea utalowa chepe chepe lakin utakauka tu
Ndo matatizo sasa yanakuwepo mengi sana lakini huisha tu menyewe kama alinyeshewa mvua anavyokaauka
Nishawahigi kufikia uamuzi wa kufa lakin MUNGU alinikiokoa
Waliojiuwa mpaka mda huu najuta sana hivyo nakuomba usifanye hivyo ndugu yangu, ukifanya hivyo utanikosea sana
Ngoja nikupe mfano Kuna vijana kama akina
min -me wanafanya kazi za kutosha vyombo kwa mama ntilie huko posta na hawana kabisa mpango wa kujiua iweje wewe uwaze hivyo
Acha mawazo hayo