Maisha niliyonayo natamani hadi kufa

Maisha niliyonayo natamani hadi kufa

daah yaani unajua ilisha tokea ila bado hutak amini ko akijiua utasema nini tena
Ila huyu kuna uzi alisema kuna demu anamtamani halafu jana akaja na uzi eti yeye katika maisha yake hajawahi kutamani wanawake alipoulizwa kuhusu uzi wake wa nyuma akasema alikuwa anachangamsha genge tu

Sasa utamuamini vipi kirahisi mtu kama huyo?
 
Maisha yangu yalipo nikama yamenikalia. Nimesoma ila masomo hayajanisaidia.nina maden kibao atamengin sijalipa.

Na tena mimi tuh ndio mtoto wa pekee kwetu nyumbani.baba na mama wote waniangalia. kiujumla nmechoka ata sion faida ya kuishi bora niendee zangu kaburin nikapumzike.

Maisha kwang ni machung sio matamu.saiv nafikiria ni mbinu gani ntakayo tumia nifike ahera mapema.
Kudai wewe sio wa kwanza mkuu. Na ugumu wa maisha wewe sio kwanza, unaweza toka mavumbini na hali yako ya maisha ya sasa ikawa kama darasa. Ugumu na hali za maisha kila mtu amepitia kwa namna yake na wengone wanapitia magumu kuliko wewe ila hatusemi tunaendelea na juhudi madeni kila kona ila siku neema ikiwapo yanalipwa. Usikate temaa usiwaze kuangamiza nafsi yako
 
Ukifa wazazi wako wata teseka kihisia zaidi ata ya unavyo teseka wewe ,,msdeni sio sababu ya kujiua asee

Mimi niliwahi kua na madeni adi ikafika hatua nikasema silipi mtu liwalo na liwe.

Ila kama una tania we ni ms*nge
 
Ila huyu kuna uzi alisema kuna demu anamtamani halafu jana akaja na uzi eti yeye katika maisha yake hajawahi kutamani wanawake alipoulizwa kuhusu uzi wake wa nyuma akasema alikuwa anachangamsha genge tu

Sasa utamuamini vipi kirahisi mtu kama huyo?
Watu wanapoteza tu nguvu zao kumshauri mzee wa Chai.
 
Back
Top Bottom