Maisha ni fumbo, imeniuma sana

Maisha ni fumbo, imeniuma sana

Ablessed
Alafu hata kumuonea huruma mtoto wa mwenziwe mana kuna vitu huwezi kumnyima mtoto hata kidogo husasan nawe ukiwa mzazi unajua uchungu wa mtoto
 
Last edited by a moderator:
jf bana ikijia thread ya maskini..kila mtu anajidai maskini..ikija thread mambo safi kila mtu mambo safi ...dah hatari
 
Mh umenikumbusha mbali sana. Yaani kila mtu akisema aandike duuhh itakua mtiririko wa huzuni humu ndani.
 
Mkuu pole, hii mikasa ingekuwa wote tunaamua kusimulia ni huzuni tupu tunapitia mengi mno pole sana brother it over now.
 
Pole sana mkuu, roho imeniuma. Na hii sana inatokea mtu akikosa wazazi (sio wote) cha muhimu tujifunze kuwa na subra tu. Maisha yanageuka.
 
Pole sana kijana maisha ndivyo yalivyo hata hivyo mshukuru Mungu kwa mapito hayo aliyokupitisha naamini kulikuwa na kusudi la yeye kufanya hivyo na leo upo hapo ulipo so MUNGU WETU NI MWEMA SIKU ZOTE
 
12STONE
Kweli mkuu, nikikumbuka maisha tulopitia na sahivi tulivo Alhamdulillah. Baba yetu alipofariki tuliyumba sana, lkn sihaba mama alikuwa mwalimu na mlezi mzuri ame figt mpk akahakikisha atleast tunasoma vizuri, sisi ilikuwa hatujui kuvaa vizuri,

wala kula vizuri na pa kulala ilikuwa ni kumuomba Mungu tu asubuhi ifike salama. Ugali kwa kachumbari tulikuwa tunaita full suit. Hah ha haaaaa. Maisha yanatufunza kwa kweli muhimu subra tu
 
Last edited by a moderator:
hata mademu dume aliyefulia leo ndo boss wa kesho
 
Umetimiza kikamilifu agizo la MUNGU kwamba usilipe ubaya kwa ubaya bali Lipa Ubaya kwa wema
 
Mtu si nyuki kila mtu ana fungu lake mkuu. Ni wakati wako kusaidia wengine.
 
Mbona matajari wengi humu nchini hiyo mitihani ya maisha yaliwakuta na kuwagaragaza...lakini baadaye wakabarikiwa?
 
Ni tamu sana hii bongo muvi, japo inaweza kuwa kweli
 
Back
Top Bottom