Maisha ni fumbo, imeniuma sana

Maisha ni fumbo, imeniuma sana

OIL CHAFU
Na bora yakukute ukiwa mdogo. Sitamani kabisa maisha ya utotoni yanirudie ukubwani. Fainali uzeeni.
 
Last edited by a moderator:
Shilingi ya Mungu si shilingi ya mwanadamu!!

pole sana KK @oil chafu

Kuna wakati wa kulia & wakati wa kucheka!!!


Note: THE BEST REVENGE FOR BAD PEOPLE IS GOOD DEEDS ON THEM.
 
Last edited by a moderator:
Ngalikihinja
Ukikaa kuskiliza shida za wengne cku nzima utakua kichaa kwanza zako nani atakusaidia. BTW kwa nilipopitia hii ya huyu jamaa ni mazoezi tu
 
Last edited by a moderator:
Umenikumbusha kitu ambacho nikigeuka kukiangalia nakiona kwa mbaali sana na siamini kama niliwahi kuwa hapo.
Tukubali tukatae juhudi na maarifa inalipa.
 
Siwezi kuita ni story ila niite "NI MAISHA AMBAYO BINADAMU YEYOTE YULE KAMA ANGALI HAI ANAWEZA KUJIKUTA ANAYAISHI NA AKAYAISHI KADIRI ALIVYOPANGIWA",haya maneno ni fundisho kubwa kwa jamii yetu ya sasa,binaadamu unayeishi usithubutu hata kwa kukosea kumdharau binadaamu mwenzako hata kama akawa chizi,una uwezo msaidie huna uwezo mjibu kwa upole au kaa tu kimya but usimdhihaki,Mungu ndiye anayejua kwa nini wewe umepata na yeye amekosa,mkuu @OIL chafu pole na asante kwa thread yako safi yakutukumbusha wajibu wetu.
 
Last edited by a moderator:
POLE KWA ULIYOYAPITIA HONGERA KWA KUTOLIPIZA KISASI.STORY YAKO INASOUND NDANI KU-MOYO.

Kuna siri kubwa sana imefichika juu hatma ya Mwandamu,Baadhi yao katika Kundi la WALIONACHO hujaa kiburi,dharau,kubehi na vicheko kwa WASIONACHO.


Wakisahau MAISHA NI MWALIMU STADI kwa Wanadamu unajidanganya badala yakuwasaidia Unawacheka wasio na mavazi,chakula na malazi leo hii kesho yake Huyo MASIKINI NI HESHIMA na mwisho wake Huyo MTAJIRI WENYE DHARAU NA UCHOYO NI AIBU NA KILIO.

UKIWA NA RIZIKI WAKUMBUKE NA WENZAKO HUTAIBIKA NA KUISHIWA KWA KUSAIDIA WENGINE.
 
farkhina
Ukiwa mchoyo wa chakula inaonesha jinsi gani ulivyo masikini wa roho.
 
Last edited by a moderator:
Mama yetu alikuwa anasema 'be nice to people as you go up, you may meet them as you go down'
Hamna kitu kibaya sana kama kumdharau mtu kwa sababu ya mali. Iwe ndugu, mzazi, jamaa na hata mwenza wako.

Sasa kaka watafute, uwasaidie kidogo. Huyo dogo mtaftie ajira hata ya mshahara laki 2 urudishe heshima kwanza
 
technology ni muimu nmegundua.msg ndefu mpk wasinzia.
 
Unenikumbusja mbali sana nilipokua naiba madaftari ya wanafunzi wenzangu na kuandikia mimi kutokana na kukosa pesa ya kununulia daftari ,nilikua naiba kalamu na kuuza ili nipate pesa za mihogo aisee nilikua mwizi kiukweli yesu anisameheme tu
 
Back
Top Bottom