LINDAIKEJI
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 273
- 131
Umenikumbusha mbali sana.wakati nasoma shule ya msingi hizi hizi zetu st kayumba jirani yetu alikua mambo safi sana wanawe walikua wanasoma international school.
Alikua na binti na kijana walikua pia na maringo sana sana wala hawaji associate na watoto wengine mtaani.kama kawa baba akafa,muda haukupita mama nae akafariki,wakapokelewa na ndugu,definetly mambo yalienda mrama.
Basi siku moja nafata mkaa gengeni nikakutana na yule mtoto wa kiume amechokaa mwili na hata mavazi nikakumbuka life yao before nikasema kweli dunia hadaa.wao ndo walikua wakwanza kua na Rav 4 mtaani tena mpya 1999 leo tuko level gengeni acheni Mungu aitwe Mungu.
Alikua na binti na kijana walikua pia na maringo sana sana wala hawaji associate na watoto wengine mtaani.kama kawa baba akafa,muda haukupita mama nae akafariki,wakapokelewa na ndugu,definetly mambo yalienda mrama.
Basi siku moja nafata mkaa gengeni nikakutana na yule mtoto wa kiume amechokaa mwili na hata mavazi nikakumbuka life yao before nikasema kweli dunia hadaa.wao ndo walikua wakwanza kua na Rav 4 mtaani tena mpya 1999 leo tuko level gengeni acheni Mungu aitwe Mungu.