Maisha ndani ya Latvia 2019-2022

Maisha ndani ya Latvia 2019-2022

Sveiciens, vai jūs runājat.

Wasalimie Engure, Saulkrast, Merslags,Jelgava, Čaka Street, Rozena street...

hapo Čaka Street usiku mambo yetu yale.
Wasalimie sana wachumba zangu...
Studio 69,First МИР,Coyote Fly, Rokkafeinica,Cafe Leningrad,One One,Omas Briliiants,Just Bar,Folkklubs,Piens, hahahaha...
 
Vp wanaubaloz hapa bongo

latvia imo jumuiya ya NATO maana Putin asije isambaratisha

Kutoka latvia had Moldova Kuna usafir wa treni au ndege TU?

Bidhaa hitajika kutoka bongo au east afrika kwa ujumla n zipi?

Vp mfumo wa wao waelimu upoje wanatumia lugh ipi kufundishia?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mimi kwa kawaida uwa situlii sehemu moja Na Uzuri nimeshajua techniqyes za kusafiri

Baada Ya Ukriane ambayo ilikuwa kama njiapanda to The rest of The world Nimekaa Norway mwaka mzima , nikapata Kuja kutulia zangu LATVIA RIGA

Maisha kwa ujumla ni mazuri Na watu wake wako charming wanaeleweka wamenipa mpaka mke !

Kwasasa Nahisi ntatulia Na kuzeekea hapa kama sitahamishwa maana kuna Tetesi za kupelekwa Luxembourg 2023 January .

Kuhusu RIGA maisha Yao ukitaka kujua CHOCHOTE niulize
Kila mtu yupo Nje ya nchi humu ndani. Mm nakaa Malmo Sweden
 
Vp wanaubaloz hapa bongo

latvia imo jumuiya ya NATO maana Putin asije isambaratisha

Kutoka latvia had Moldova Kuna usafir wa treni au ndege TU?

Bidhaa hitajika kutoka bongo au east afrika kwa ujumla n zipi?

Vp mfumo wa wao waelimu upoje wanatumia lugh ipi kufundishia?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
No una apply kupitia ubalozi wa Sweden Au Finland
 
Siyo lazima afunguke kila kitu, hapo kaongea kwa kifupi tu.

Watanzania hatuna connectivity kama walivyo hao aliowataja ndiyo ukweli huo, but siyo msaada bali - connection.
Hakika Todays
 
B

Badobsanaaa
Tupe connection tufike huko Dunia ya kwanza mkuu ili tuje tubomoe Yale magorofa ya zamani Bukoba Mjini.

Chonka amaisha nogabonota kununju amahela ngaguma mno umkaikaikulu yashobeza
 
Tukuulize nini sasa wakati tukitafuta hata connection za kwenda huko mnatubania.

bora wapopo na wakenya wanasaidiana. Mibongo ubinafsi mwiiingi
Conenction tafuta mwenyewe utapata
 
Back
Top Bottom