makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,903
- 104,170
Aliyepiga hizi picha alifaulu kivipi kuzitoa nje maana kule unakaguliwa na uhamiaji mpaka kwenye simu, wanaangalia na kufuta baadhi ya picha.
Vipi mzee kama nitazifotoa na kuziback up google photos kwa mfano! Kisha nikaifuta, ama huko nako apps kama hizo zimepigwa ban!?