Ukiruka stage lazima utairudia uzeeni,...huyu mzee inabidi awe anafanya majumuisho/mahesabu
ya maisha yake,lakini anacho fanya ni kama bado ana miaka 10 hivi
Mi nadhani kimestaafu juzi juzi hivyo kinakula pensheni sasa after few days utaniambia kitakavyochoka maana hata kikiwa millionaire kwa spidi hii ....sidhani.