The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Kwa Watanzania wengi wanaijua hii show ya Bongo sstar search na nyingine zinazofanana na hiyo ila ni watu wachache wanaoweza kujifunza kitu kwa kulinganisha maisha yao na show hiii. ukweli ni kuwa maisha meengi tunayoishi kuna vitu viingi mno vya kujifunza ambavyo ukitazama utaona ukweli na unaweza kukusaidia....
Kila mwaka hii show inaanza kwa kutafuta washiriki wanaanza watu maelfu na wanapunguzwa hadi anabaki mmoja ambae anatangazwa mshindi ukweli ni kuwa washiriki woote ni karibu sawa na mshindi haswa wa show hii ni 'muandaaji wa show' na sio washiriki. Washiriki hupewa tu title za kuwadanganya, mfano 'top ten' au 'top three' na kadhalika na wale wanaokosa kuingia hizi top ten au top three au wale ambao wako mikoani na walishindwa kuingia hatua ya pili ya kuja DSM 'hujiona wameshindwa kitu kikuubwa saana' na wanaofanikiwa 'hujiona wamepiga hatua kuubwa sana' kumbe mara nyingi ni 'uzushi mtupu'
sasa ukija kwenye maisha ni hivyo hivyo unakumbuka shule ilivyokuwa? unakumbuka kila mtihani ilionekana kama ni 'make or break' ya future yako? unakumbuka 'ulivyofaulu darasa la saba'? au 'ulivyofeli darasa la saba'?????? ulipoajiriwa je? wangapi hujutia kazi zao baadae? au waliofukuzwa kazi na 'wakaona ni kama mwisho wao umewadia' baada ya miaka michache walilitazama vipi?
'ulipompata the love of ur life'? miaka michache baadae mara ngapi ulijiuliza' if you made the right decision'? kila hatua tunayopitia in life huwa inatufanya tuone 'tukifanikiwa' dah.... na 'tukishindwa' duh......kumbe in few years 'kushindwa na kufanikiwa' hakutakuwa na tofauti kuubwa saana. Wangapi walifeli darasa la saba wakaja kupata div one form four? au waliofaul form six wakafeli chuo?
au walimaliza chuo na kushindwa maisha kwa ujumla?
ukweli ni kwamba maisha yetu yamejaaa 'show za aina ya BSS' kila hatua na ni watu wachache wanaojua hilo weengi 'tunaamini tunayoaambiwa na waandaji wa show hizi' kusoma kuna tests mitihani na kadhalika ajira zina interview na ukishapata kazi kuna 'probation time'
kuna barua za onyo ukikosea, na ukifanya kama muajiri anavyotaka'promotion na tuzo za kiofisi' ili mradi hakuna tofauti na 'kuingia top ten' au kuondolewa kwenye BSS... but 'anaefaidika zaidi' sio wewe wewe unatumika tu na ukishindwa kutumika vizuri wanaku dump asap lol
mitaani ni hivyo hivyo....watu wanatumika kununua bidhaa fulani fulani wakiamini wanafaidika tazama 'promotion za makampuni ya simu mfano' na makampuni mengineyo unaweza leo kuona umeshindwa saana au umefanikiwa saaana lakini kumbe uko kwenye
'show ya mtu au watu fulani hivi' mfano wa BSS
ukiweza kutumika 'wanaku promoti' ukishindwa wanaku timua na wanatafuta washiriki wapya...
thats life these days.....
Kila mwaka hii show inaanza kwa kutafuta washiriki wanaanza watu maelfu na wanapunguzwa hadi anabaki mmoja ambae anatangazwa mshindi ukweli ni kuwa washiriki woote ni karibu sawa na mshindi haswa wa show hii ni 'muandaaji wa show' na sio washiriki. Washiriki hupewa tu title za kuwadanganya, mfano 'top ten' au 'top three' na kadhalika na wale wanaokosa kuingia hizi top ten au top three au wale ambao wako mikoani na walishindwa kuingia hatua ya pili ya kuja DSM 'hujiona wameshindwa kitu kikuubwa saana' na wanaofanikiwa 'hujiona wamepiga hatua kuubwa sana' kumbe mara nyingi ni 'uzushi mtupu'
sasa ukija kwenye maisha ni hivyo hivyo unakumbuka shule ilivyokuwa? unakumbuka kila mtihani ilionekana kama ni 'make or break' ya future yako? unakumbuka 'ulivyofaulu darasa la saba'? au 'ulivyofeli darasa la saba'?????? ulipoajiriwa je? wangapi hujutia kazi zao baadae? au waliofukuzwa kazi na 'wakaona ni kama mwisho wao umewadia' baada ya miaka michache walilitazama vipi?
'ulipompata the love of ur life'? miaka michache baadae mara ngapi ulijiuliza' if you made the right decision'? kila hatua tunayopitia in life huwa inatufanya tuone 'tukifanikiwa' dah.... na 'tukishindwa' duh......kumbe in few years 'kushindwa na kufanikiwa' hakutakuwa na tofauti kuubwa saana. Wangapi walifeli darasa la saba wakaja kupata div one form four? au waliofaul form six wakafeli chuo?
au walimaliza chuo na kushindwa maisha kwa ujumla?
ukweli ni kwamba maisha yetu yamejaaa 'show za aina ya BSS' kila hatua na ni watu wachache wanaojua hilo weengi 'tunaamini tunayoaambiwa na waandaji wa show hizi' kusoma kuna tests mitihani na kadhalika ajira zina interview na ukishapata kazi kuna 'probation time'
kuna barua za onyo ukikosea, na ukifanya kama muajiri anavyotaka'promotion na tuzo za kiofisi' ili mradi hakuna tofauti na 'kuingia top ten' au kuondolewa kwenye BSS... but 'anaefaidika zaidi' sio wewe wewe unatumika tu na ukishindwa kutumika vizuri wanaku dump asap lol
mitaani ni hivyo hivyo....watu wanatumika kununua bidhaa fulani fulani wakiamini wanafaidika tazama 'promotion za makampuni ya simu mfano' na makampuni mengineyo unaweza leo kuona umeshindwa saana au umefanikiwa saaana lakini kumbe uko kwenye
'show ya mtu au watu fulani hivi' mfano wa BSS
ukiweza kutumika 'wanaku promoti' ukishindwa wanaku timua na wanatafuta washiriki wapya...
thats life these days.....