Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 330
- 1,244
Diogo Jota amefariki wakati ambao alikuwa anaendesha gari kuelekea Kaskazini mwa Hispania kwenye Mji wa Santander akiwa na Mdogo wake Adrian, ambapo wangefika Mji huo wangevuka kupitia Ferry (kivuko) mpaka upande wa pili kisha waendelee kuendesha kuelekea England ( Uingereza) kwa barabara ili aripoti kambini kwa ajili ya Pre Season ambayo inaanza Julai 8.
Jota (28) alilazimika kusafiri kwa barabara kwasababu alitoka kufanyiwa Upasuaji wa mapafu ambapo Madaktari walishauri asitumie Ndege kwa muda hivyo ndio sababu imemlazimu aendeshe gari ambapo ndipo akapata ajali kupelekea mauti yake. ⚽💔🕊️
Kifo hakiepukiki wala hakikwepeki
R.I.P Jota
MA
Jota (28) alilazimika kusafiri kwa barabara kwasababu alitoka kufanyiwa Upasuaji wa mapafu ambapo Madaktari walishauri asitumie Ndege kwa muda hivyo ndio sababu imemlazimu aendeshe gari ambapo ndipo akapata ajali kupelekea mauti yake. ⚽💔🕊️
Kifo hakiepukiki wala hakikwepeki
R.I.P Jota