Maisha halisi ya Burundi

Maisha halisi ya Burundi

Pole kwa kudhani kila mtu ni muhudhuriaji wa hayo maeneo. Kwa kifupi tu kuanzia afisa uhamiajj niliyekutana naye airport alitengeneza mazingira ya kuniibia akifuatiwa na kijana aliyekuwa akinisaidia kubeba mizigo ndani ya airport. Wenyeji wangu nao wakatengeneza mazingira ya kuniibia. Madukani na sokoni nako balaa kila mmoja alikuwa akipandiasha bei ya bidhaa aligundua mimi ni mgeni. Nikienda Bwiza kwenye klabu zao wauza michopoo na brochet nao ni wizi mtupu. Ukienda kwa wavunjai barabara ya saba ni wizi. Mwanamke niliyekuwa nikimuamini na kulala naye ndio akaniibia Faranga 7,000,000.Hoteli niliyofikia pale Buyenzi barabara ya nane namba 23 ndio iliwekwa chini ya ulinzi kabisaa na majambazi. Hao wa makanisa ndio kila siku walikuwa wakinifata niwape hela za ujenzi wa kanisa lao. Sasa we ng'ombe wa kirundi hapo umeona wapi vilabu vya gongo na madanguro katika mtiririko wa maelezo yangu?
 
Pole kwa kudhani kila mtu ni muhudhuriaji wa hayo maeneo. Kwa kifupi tu kuanzia afisa uhamiajj niliyekutana naye airport alitengeneza mazingira ya kuniibia akifuatiwa na kijana aliyekuwa akinisaidia kubeba mizigo ndani ya airport. Wenyeji wangu nao wakatengeneza mazingira ya kuniibia. Madukani na sokoni nako balaa kila mmoja alikuwa akipandiasha bei ya bidhaa aligundua mimi ni mgeni. Nikienda Bwiza kwenye klabu zao wauza michopoo na brochet nao ni wizi mtupu. Ukienda kwa wavunjai barabara ya saba ni wizi. Mwanamke niliyekuwa nikimuamini na kulala naye ndio akaniibia Faranga 7,000,000.Hoteli niliyofikia pale Buyenzi barabara ya nane namba 23 ndio iliwekwa chini ya ulinzi kabisaa na majambazi. Hao wa makanisa ndio kila siku walikuwa wakinifata niwape hela za ujenzi wa kanisa lao. Sasa we ng'ombe wa kirundi hapo umeona wapi vilabu vya gongo na madanguro katika mtiririko wa maelezo yangu?

Mkuu St. Paka Mweusi pole kwa yote yaliyokusibu kaka, katika nchi zetu za Kiafrica hayo ni yakawaida sana.
 
Asante sana kaka, ila kiukweli sitaisahau hiyo experience katika safari zangu kaka

Mi miaka ya zamani nilipeleka bidhaa Mbeya, nilikuwa ninafikia Guest house flani hivi pale uyole inaitwa Uyole Guest, siku moja walivamia majambazi room to room ila nilibahatika kuvuka salama, maana nilifika pale nimechelewa sana na hamna room, wale wadada kwa vile wananifahamu sana ni mteja wao mzuri. Wakatoa mashuka machafu na mataulo wakanipa chumba cha uani sana wakaweka godoro tu ili pakuche, kutokana aina ya chumba kuwa kwenye vyoo vya nje hawakufika na hapa nilikuwa na 4.5M enzi za Mkapa hizo. Kwenye nchi zetu za Kiafrika kila mahala yapo
 
Mkuu fursa zipo nyingi ila tatizo ni machafuko ya kisiasa. Mimi naishi huku kigoma na mwendo wa burudi nikama nauri ya elfu 5000, na mfano wa fursa za biashara kutoka burudi kuja Tz. Unaweza nunua sabuni za burundi katoni inauza 2000/= na ukifanikiwa kuifikisha Tanzania inauzwa kwa bei ya 11000.
Fursa ya pili ni vitenge vya burundi moja ni imara kutokana na viwanda vyao asilimia nyingi wanatumia magome ya miti maka low matirial ya nguo.
Furusa ya biashara kutoka Tz kwenda burundi. Ukiwa na mahindi ukaenda kuuza burundi faida itaipata mara mbili. Vipo vitu vingi ukitaka niambie nikuelezee kwa upana zaidi but pia kuna changamoto zake
mkuu funguka basi litakuwa jambo jema
 
Kwana kabisa niwape pole kwa mihangaiko yenu ya kila siku wana JF.
Kama heading isemavyo hapo juu, mwezi uliopita/Septemba nilifanya ziara ya kitalii nchini burundi, kwa niliyoyakuta ni balaa tupu, very dangerous. Pia kama kuna Warundi humu basi mje mkanushe au myatolee ufafanuzi haya ninayoenda kuyaongea.
1.Hakuna kuoa zaidi ya mke mmoja, hili lilinishangaza sana ndipo nikaamua kulivalia njuga nikaulizia chanzo. Wenyeji waliniambia eti'' ubhanye abhagore bhenshi nta amatogo yachwiye''
2.Zaidi ya 90% ya wafanyakazi wa serikali ni wa chama tawala, wenyewe wanaita IMIGAMBWE. Kwa huku kwetu TZ, Maadili ya viongozi yanakataza wafanyakazi wa serikali kuwa na milengo ya kisiasa, ila kwa Burundi , Waalimu, madaktari, n.k utawakuta kazini wamevaa t-shirt zenye picha ya rais na chama chake cha CMDD-FDD
3.Mishahara ya wafanyakazi ni pasua kichwa, ni nusu ya hapa kwetu, ila watu bado hawagomi na wanachapa kazi. Mfano, Mwalimu wa shule za upili/Secondary school ni chini ya laki 3 Tsh
4.Wafanya kazi wa ndani ni shida tupu, wengine wanaita UBHUBHOYI au UBHUYAYA, yaani mtu unalipwa Tsh 4000/month,duuu pathetic.
5.Vijana wenye nguvu hukimbilia Tanzania katika mikoa ya Kigoma na Kagera kutafuta vibarua vya kulima mashamba, na hii ni kama uti wa mgongo wa kilimo cha mkoa wa Kigoma, Warundi ndio hulima mahekta mengi kwa ujira mdogo huku wao wakiona ni hela nyingi. Mfano, mtu unalima Hekari ya mita 100 kwa Tsh laki 1 then unaona hela nyingi, duuu
5.Mademu wa burundi ni pasua kichwa, zaidi ya 80% wanatumia pombe kama kuonesha Ubitoz. Na ukimtaka tu wewe mnunulie pombe basi, wanawaogopa watz eti ni Malaya/Abhagilanyi duuu, ila ukipiga kiswahili kizuri ukaahidi kumuoa basi yuko tayari, lakini hataki muishi Burundi bali Tz.

Ongezeeni na mengine, karibu kwa mjadala basi matusi nooo

nkobhe255

umelenga mule mule , nafanya kazi in and out bujumbura nipo kigoma ,,, hujakosea mkuu , hasa umalaya . mrundi hana kawaida ya kumkatalia mtu na wanapenda starehe sana . vitu wanavyopenda warundi ni mavazi ,,, chakula kama wali , i mean mchele w kutoka tanzania . hawapendi kufanya kazi wakina mama zaidi ya kufanya vibiashara vya hapa na pale ,,,,, ukiwa disco usishangae mwanamke akakutongoza na ukikubaliana naye ukamuacha na kutongoza mwingine ,,, maisha yako yapo rehani.

kwa sisi wana kigoma , burundi ni sehemu muafaka sana kuendesha maisha , kwani bidhaa zetu tunanunulia burundi hasa mahitaji ya nyumbani mfano ,,, nyama kigoma tanzania kilo tshs6000/7000 ,,, burundi mugina tshs4000,,, maharage kg tz tshs1800 ,,, br tshs1000 . simu ndiyo usiseme bei ya tz na burundi kwa simu ile ile , tofauti unaweza kukuta tshs 30000/=. mwezi jana nimeacha change ya pesa ni tshs 10,000 kwa fr 11,500/=.

tatizo la kupitisha vitu border ndiyo changamoto , vitu vichache hutozwi ushuru wa tra , lakini vikiwa vingi unatozwa ushuru . mchele burundi kilo moja ni fr 3000 wakati sasa hivi kigoma ni tshs 1000-1200 kwa kilo ., ukipitisha mpakani chini ya kilo 100 huo ni wa kula hutozwi ushuru ,, mtu anajitahidi kukata mafurushi madogo madogo kwa kila gari anabeba kilo hata 400 kwa mkupuo . kuna makampuni ya mabasi ya hamza transit , burugo travel na luba express , yanayofanya usafiri bujumbura kigoma .
 
umelenga mule mule , nafanya kazi in and out bujumbura nipo kigoma ,,, hujakosea mkuu , hasa umalaya . mrundi hana kawaida ya kumkatalia mtu na wanapenda starehe sana . vitu wanavyopenda warundi ni mavazi ,,, chakula kama wali , i mean mchele w kutoka tanzania . hawapendi kufanya kazi wakina mama zaidi ya kufanya vibiashara vya hapa na pale ,,,,, ukiwa disco usishangae mwanamke akakutongoza na ukikubaliana naye ukamuacha na kutongoza mwingine ,,, maisha yako yapo rehani.

kwa sisi wana kigoma , burundi ni sehemu muafaka sana kuendesha maisha , kwani bidhaa zetu tunanunulia burundi hasa mahitaji ya nyumbani mfano ,,, nyama kigoma tanzania kilo tshs6000/7000 ,,, burundi mugina tshs4000,,, maharage kg tz tshs1800 ,,, br tshs1000 . simu ndiyo usiseme bei ya tz na burundi kwa simu ile ile , tofauti unaweza kukuta tshs 30000/=. mwezi jana nimeacha change ya pesa ni tshs 10,000 kwa fr 11,500/=.

tatizo la kupitisha vitu border ndiyo changamoto , vitu vichache hutozwi ushuru wa tra , lakini vikiwa vingi unatozwa ushuru . mchele burundi kilo moja ni fr 3000 wakati sasa hivi kigoma ni tshs 1000-1200 kwa kilo ., ukipitisha mpakani chini ya kilo 100 huo ni wa kula hutozwi ushuru ,, mtu anajitahidi kukata mafurushi madogo madogo kwa kila gari anabeba kilo hata 400 kwa mkupuo . kuna makampuni ya mabasi ya hamza transit , burugo travel na luba express , yanayofanya usafiri bujumbura kigoma .
Je, mtz ambae hajui Françe unafanyaje kuwasiliana ?
 
Ni weusi na wachafu warundi
Mkuu,kwani weupe ndio uzuri!? Sijui mwenzangu unatoka wapi,lakini wanawake wazuri ni wanawake weusi kuanzia shape zao,sura nk,weupe wanaringia ngozi tu,hawana "lips",hawana matako nk..

Wanawake wa kirundi,Kinyaruanda wazuri sana wanasifika Dunia nzima wanalinganishwa na Wasomali pamoja na Waithiopia..
 
Mkuu,kwani weupe ndio uzuri!? Sijui mwenzangu unatoka wapi,lakini wanawake wazuri ni wanawake wuei kuanzia shape zao,sura nk,weupe wanaringia ngozi tu,hawana "lips",hawana matako nk..

Wanawake wa kirundi,Kinyaruanda wazuri sana wanasifika Dunia nzima wanalinganisha wa Wasomali pamoja na Waithiopia..
Warundi hapana!!
 
Back
Top Bottom