Maisha halisi ya Burundi

Maisha halisi ya Burundi

Warundi???
Mbona unashangaa? Wenyeji wa Burundi ni wale wale wa Rwanda yaani ni hao hao Watsi na Wahutu. Kutokana na fujo zao za mika nenda rudi hawapendi na sisi hatupendi kuwaita kwa makabila yao. Bali wanaitwa Wanyerwanda kwa wale wa Rwanda au Warundi kwa wale wa Burundi Lakini ni makabila hayo hayo ya Watsi, Wahutu na Watwaa. Ni wazuri wa sura hasa Watsi.
 
pale mtukania mtu mamayake unatafta kifo

kumiliki silaha zaidi ya moja ni kesi, yaani bora uwe nayo moja zingine rudisha hamna kesi, ila wakija wao kuzichukua ujue unalo
polisi au wanajeshi kuwakuta bar mida ya kazi na mikwasa ni kawaida,

ukikamatwa town huna kitambulisho unapelekwa boda la congo uvira hata kama wewe ulijitambulisha ni m bongo

watutsi wanajiona wako juu, kuliko wahutu

wafanyakazi wa ndani ni wanaume

ukijiamini saana unafuatiliwa kwa muda wote utaoishi nchi ile

wengi hula milo miwili kwa siku

ni rahisi kwenda nchi za nje, na wana[okelewa hasa, Canada, Australia, Sweden, Finland, norway, Belgium na France, katika kila familia lazma wapo member wako nje ya nchi

jumamosi ni siku ya usafi

ukimkuta muislam ni muislam kweli, na ukimkuta mkristo ni mkristo kweli, wanashika dini vilivyo, na ukimkuta asie na dini ndio hivyo hivyo humuelezi kitu

wanapenda sana sombe na maharage ya mawese, mikeke, u rohe na michopo

wana hasira sana hawa jamaa

ukiwa mgeni ni lazma utajulikana tuu, hasa mitaa ya watutsi wengi, kama kinindo, kibenga, kiriri, ila ukijichanganya uswazi bwiza na buyenzi ni kama upo bongo tuu tofauti ni zile sare za bluu na mikwasa yenye magazine zidi ya sita.

yapo mengi tu mazuri kuhusu burundi...nimeweza kumbuka machache, ila la zaidi ni kutunuku, hawana noma wabongo wanatuelewa mno...shida yetu huwa chapa ilale
 
pale mtukania mtu mamayake unatafta kifo

kumiliki silaha zaidi ya moja ni kesi, yaani bora uwe nayo moja zingine rudisha hamna kesi, ila wakija wao kuzichukua ujue unalo
polisi au wanajeshi kuwakuta bar mida ya kazi na mikwasa ni kawaida,

ukikamatwa town huna kitambulisho unapelekwa boda la congo uvira hata kama wewe ulijitambulisha ni m bongo

watutsi wanajiona wako juu, kuliko wahutu

wafanyakazi wa ndani ni wanaume

ukijiamini saana unafuatiliwa kwa muda wote utaoishi nchi ile

wengi hula milo miwili kwa siku

ni rahisi kwenda nchi za nje, na wana[okelewa hasa, Canada, Australia, Sweden, Finland, norway, Belgium na France, katika kila familia lazma wapo member wako nje ya nchi

jumamosi ni siku ya usafi

ukimkuta muislam ni muislam kweli, na ukimkuta mkristo ni mkristo kweli, wanashika dini vilivyo, na ukimkuta asie na dini ndio hivyo hivyo humuelezi kitu

wanapenda sana sombe na maharage ya mawese, mikeke, u rohe na michopo

wana hasira sana hawa jamaa

ukiwa mgeni ni lazma utajulikana tuu, hasa mitaa ya watutsi wengi, kama kinindo, kibenga, kiriri, ila ukijichanganya uswazi bwiza na buyenzi ni kama upo bongo tuu tofauti ni zile sare za bluu na mikwasa yenye magazine zidi ya sita.

yapo mengi tu mazuri kuhusu burundi...nimeweza kumbuka machache, ila la zaidi ni kutunuku, hawana noma wabongo wanatuelewa mno...shida yetu huwa chapa ilale

umenena kabisa naifahamu burundi sana, muyinga, kayanza, ngozi, borabora beach, clubs zao pake ktkt ya mji nimetimba sana.
Uzuri jamaa wanatuelewa sn wabongo asa wadada
Wahudumu wa bars/hotels ni wanaume
Wanafunzi wa sekondari wanavyovaa utadhani ni wahudumu wa bar
Mitaa ya bwiza ina wabongo weng sn, nimekula sana michopoo ila ule ugali wa baridi nilidhindwa.
 
umenena kabisa naifahamu burundi sana, muyinga, kayanza, ngozi, borabora beach, clubs zao pake ktkt ya mji nimetimba sana.
Uzuri jamaa wanatuelewa sn wabongo asa wadada
Wahudumu wa bars/hotels ni wanaume
Wanafunzi wa sekondari wanavyovaa utadhani ni wahudumu wa bar
Mitaa ya bwiza ina wabongo weng sn, nimekula sana michopoo ila ule ugali wa baridi nilidhindwa.

Mkuu umetembea sana
 
Mishia=Mishiha. panaitwa Commune Mishiha. MARA YA MWISHO KUPITA HUKO ILIKUWA 1993, NIKITOKEA BUJUMBURA KUJA MWANZA, THEN TOOK FLIGHT TO DAR...MAISHA YALIKUWA MATAMU THOSE DAYS..
Dah siku nyingi sana ulikuwepo kule..Mimi nilikuwa 2014-2015 bado Burundi ni nzuri kwa hali ya hewa na rutuba. Wangetulia wangekuwa mbali sana.
 
Back
Top Bottom