wap zamani
Senior Member
- May 21, 2017
- 139
- 80
Kweli mkuuFursa kule ni kupeleka mahidi au unga wa mhogo, yaani unalipa balaa, mimi mwenyewe ndo nafanya hiyo business
Kweli mkuuFursa kule ni kupeleka mahidi au unga wa mhogo, yaani unalipa balaa, mimi mwenyewe ndo nafanya hiyo business
Ila umafia sio mkubwa sana mkuu?Fursa kule ni kupeleka mahidi au unga wa mhogo, yaani unalipa balaa, mimi mwenyewe ndo nafanya hiyo business
Kwenda huko!! Warundi wana sura Kubwa na mbaya! Wachafu! Primitive flani! Hayo makabila kweli yako pande zote lakini Mtutsi wa Burundi ni wa Burundi! Mhutu vile vile! Ukiniwekea mtutsi wa Rwanda na wa Burundi mahali pamoja I can tell who's Rwandese and who's Rundi!!Mbona unashangaa? Wenyeji wa Burundi ni wale wale wa Rwanda yaani ni hao hao Watsi na Wahutu. Kutokana na fujo zao za mika nenda rudi hawapendi na sisi hatupendi kuwaita kwa makabila yao. Bali wanaitwa Wanyerwanda kwa wale wa Rwanda au Warundi kwa wale wa Burundi Lakini ni makabila hayo hayo ya Watsi, Wahutu na Watwaa. Ni wazuri wa sura hasa Watsi.
Kwenda huko!! Warundi wana sura Kubwa na mbaya! Wachafu! Primitive flani! Hayo makabila kweli yako pande zote lakini Mtutsi wa Burundi ni wa Burundi! Mhutu vile vile! Ukiniwekea mtutsi wa Rwanda na wa Burundi mahali pamoja I can tell who's Rwandese and who's Rundi!!
Si nidhamu hiiNi weusi na wachafu warundi


Acha utan Mkuuu, nahis ndizo Polygon za Afrikawanawake wa kirundi ni warembo sana
Magufuli ndo ataifanya Tanzania iwe Kama Burundi.Aisee Hatari kumbe bora kwetu Tz
Mkuu fursa zipo nyingi ila tatizo ni machafuko ya kisiasa. Mimi naishi huku kigoma na mwendo wa burudi nikama nauri ya elfu 5000, na mfano wa fursa za biashara kutoka burudi kuja Tz. Unaweza nunua sabuni za burundi katoni inauza 2000/= na ukifanikiwa kuifikisha Tanzania inauzwa kwa bei ya 11000.kuna fursa gani huko za kibiashara tufanye mkuu
Ukaoe au ukaolewe??Me nataka kwenda Burundi nikaoe kitoto cha miaka 10 .![]()
![]()
![]()
Kule ukizubaa unaliwa kichwa mzeeIla umafia sio mkubwa sana mkuu?
Bora umemuuliza naona analeta tabia za kishenzi kama za makaburuKwani ni vibaya kua mweusi?
Ulikuwa unakutana nao wapi? Kwenye madanguro?au kwenye vibanda vya Gongo? Huwezi niambia kuwa hadi kanisanigmsikitini ulikoenda nako ulikutana na wezi tu! Basi na wewe utakuwa mwizi!Katika miezi mitatu niliyokaa Burundi niligundua kuwa kila niliyekutana naye alikuwa ni mwizi....