Niliwai kaaa Bunjumbula miezi 3 sehemu panaitwa Kamenge!Watanzania wawili walipata deal- wakanitoa mimi kama sample - mimi nilijiongeza! December 2022 Narudi Bunjumbula with 10M$ projects all from Tanzania wazawa.Hawa 2 Watanzania walinipeleka😀wao wanakuja na Kenya Airways mimi nnaenda na Basi! Ila mimi ndo planner na programmer😄!Kwana kabisa niwape pole kwa mihangaiko yenu ya kila siku wana JF.
Kama heading isemavyo hapo juu, mwezi uliopita/Septemba nilifanya ziara ya kitalii nchini burundi, kwa niliyoyakuta ni balaa tupu, very dangerous. Pia kama kuna Warundi humu basi mje mkanushe au myatolee ufafanuzi haya ninayoenda kuyaongea.
1. Hakuna kuoa zaidi ya mke mmoja, hili lilinishangaza sana ndipo nikaamua kulivalia njuga nikaulizia chanzo. Wenyeji waliniambia eti'' ubhanye abhagore bhenshi nta amatogo yachwiye''
2. Zaidi ya 90% ya wafanyakazi wa serikali ni wa chama tawala, wenyewe wanaita IMIGAMBWE. Kwa huku kwetu TZ, Maadili ya viongozi yanakataza wafanyakazi wa serikali kuwa na milengo ya kisiasa, ila kwa Burundi , Waalimu, madaktari, n.k utawakuta kazini wamevaa t-shirt zenye picha ya rais na chama chake cha CMDD-FDD
3. Mishahara ya wafanyakazi ni pasua kichwa, ni nusu ya hapa kwetu, ila watu bado hawagomi na wanachapa kazi. Mfano, Mwalimu wa shule za upili/Secondary school ni chini ya laki 3 Tsh
4. Wafanya kazi wa ndani ni shida tupu, wengine wanaita UBHUBHOYI au UBHUYAYA, yaani mtu unalipwa Tsh 4000/month, duuu pathetic.
5. Vijana wenye nguvu hukimbilia Tanzania katika mikoa ya Kigoma na Kagera kutafuta vibarua vya kulima mashamba, na hii ni kama uti wa mgongo wa kilimo cha mkoa wa Kigoma, Warundi ndio hulima mahekta mengi kwa ujira mdogo huku wao wakiona ni hela nyingi. Mfano, mtu unalima Hekari ya mita 100 kwa Tsh laki 1 then unaona hela nyingi, duuu
6. Mademu wa burundi ni pasua kichwa, zaidi ya 80% wanatumia pombe kama kuonesha Ubitoz. Na ukimtaka tu wewe mnunulie pombe basi, wanawaogopa watz eti ni Malaya/Abhagilanyi duuu, ila ukipiga kiswahili kizuri ukaahidi kumuoa basi yuko tayari, lakini hataki muishi Burundi bali Tz.
Ongezeeni na mengine, karibu kwa mjadala basi matusi nooo
nkobhe255
nilipata mmoja hajui kiswahili na kiingeleza kwa mbali mno, aisee tukageuka kuanzisha lugha yetu ya ishara...... lakini signal inaeleweka tu mbona.wanawake wa kirundi ni warembo sana
Hizi Photoshop ndyo zinawafanya mnawekewa majasusi hadi uvunguni mwa kitanda...Poti wa kirundiView attachment 2406188
Mkitupiaga picha zao lazima muedit kwaniniPoti wa kirundiView attachment 2406188
Namba 6 itanipeleka BurundiKwanza kabisa niwape pole kwa mihangaiko yenu ya kila siku wana JF.
Kama heading isemavyo hapo juu, mwezi uliopita/Septemba nilifanya ziara ya kitalii nchini burundi, kwa niliyoyakuta ni balaa tupu, very dangerous. Pia kama kuna Warundi humu basi mje mkanushe au myatolee ufafanuzi haya ninayoenda kuyaongea.
1. Hakuna kuoa zaidi ya mke mmoja, hili lilinishangaza sana ndipo nikaamua kulivalia njuga nikaulizia chanzo. Wenyeji waliniambia eti'' ubhanye abhagore bhenshi nta amatogo yachwiye''
2. Zaidi ya 90% ya wafanyakazi wa serikali ni wa chama tawala, wenyewe wanaita IMIGAMBWE. Kwa huku kwetu TZ, Maadili ya viongozi yanakataza wafanyakazi wa serikali kuwa na milengo ya kisiasa, ila kwa Burundi , Waalimu, madaktari, n.k utawakuta kazini wamevaa t-shirt zenye picha ya Rais na chama chake cha CMDD-FDD
3. Mishahara ya wafanyakazi ni pasua kichwa, ni nusu ya hapa kwetu, ila watu bado hawagomi na wanachapa kazi. Mfano, Mwalimu wa shule za upili/Secondary school ni chini ya laki 3 Tsh
4. Wafanya kazi wa ndani ni shida tupu, wengine wanaita UBHUBHOYI au UBHUYAYA, yaani mtu unalipwa Tsh 4000/month, duuu pathetic.
5. Vijana wenye nguvu hukimbilia Tanzania katika mikoa ya Kigoma na Kagera kutafuta vibarua vya kulima mashamba, na hii ni kama uti wa mgongo wa kilimo cha mkoa wa Kigoma, Warundi ndio hulima mahekta mengi kwa ujira mdogo huku wao wakiona ni hela nyingi. Mfano, mtu unalima Hekari ya mita 100 kwa Tsh laki 1 then unaona hela nyingi, duuu
6. Mademu wa burundi ni pasua kichwa, zaidi ya 80% wanatumia pombe kama kuonesha Ubitoz. Na ukimtaka tu wewe mnunulie pombe basi, wanawaogopa watz eti ni Malaya/Abhagilanyi duuu, ila ukipiga kiswahili kizuri ukaahidi kumuoa basi yuko tayari, lakini hataki muishi Burundi bali Tz.
Ongezeeni na mengine, karibu kwa mjadala basi matusi nooo
nkobhe255
Sasa kwanini umdanganye mtoto wa watu kuwa unataka kumuoa kumbe sivyo? Si bora uchape Malaya tu kisha usepe zako? Laana zingine nyie wanaume wa Dar mnajitakia wenyewe.
Umesahau dagaa wa ziwa Victoria,,!Fursa kule ni kupeleka mahidi au unga wa mhogo, yaani unalipa balaa, mimi mwenyewe ndo nafanya hiyo business
Askari alikuambia "HAO NINYI" (hapo ulipo)pale mtukania mtu mamayake unatafta kifo
kumiliki silaha zaidi ya moja ni kesi, yaani bora uwe nayo moja zingine rudisha hamna kesi, ila wakija wao kuzichukua ujue unalo
polisi au wanajeshi kuwakuta bar mida ya kazi na mikwasa ni kawaida,
ukikamatwa town huna kitambulisho unapelekwa boda la congo uvira hata kama wewe ulijitambulisha ni m bongo
watutsi wanajiona wako juu, kuliko wahutu
wafanyakazi wa ndani ni wanaume
ukijiamini saana unafuatiliwa kwa muda wote utaoishi nchi ile
wengi hula milo miwili kwa siku
ni rahisi kwenda nchi za nje, na wana[okelewa hasa, Canada, Australia, Sweden, Finland, norway, Belgium na France, katika kila familia lazma wapo member wako nje ya nchi
jumamosi ni siku ya usafi
ukimkuta muislam ni muislam kweli, na ukimkuta mkristo ni mkristo kweli, wanashika dini vilivyo, na ukimkuta asie na dini ndio hivyo hivyo humuelezi kitu
wanapenda sana sombe na maharage ya mawese, mikeke, u rohe na michopo
wana hasira sana hawa jamaa
ukiwa mgeni ni lazma utajulikana tuu, hasa mitaa ya watutsi wengi, kama kinindo, kibenga, kiriri, ila ukijichanganya uswazi bwiza na buyenzi ni kama upo bongo tuu tofauti ni zile sare za bluu na mikwasa yenye magazine zidi ya sita.
yapo mengi tu mazuri kuhusu burundi...nimeweza kumbuka machache, ila la zaidi ni kutunuku, hawana noma wabongo wanatuelewa mno...shida yetu huwa chapa ilale
Kwenye eneo la biashara warundi, wana uaminifu sana,, ni nadra mrundi kukuchezea sarakasi,, ila Wabongo ndio uwafanyiwa umafia warundi mara nyingi.Ila umafia sio mkubwa sana mkuu?
Fursa kule ni kupeleka mahidi au unga wa mhogo, yaani unalipa balaa, mimi mwenyewe ndo nafanya hiyo business
Ndo maana mapinduzi hayaishi huko, Taifa la kipumbavu sana, Afrika ina shida sanaBora kwetu kaka, yaani kule Demokrasia hata hawaijui, eti ukikuta watu wamekaa lazima utoe salamu ya chama tawala lasivyo unafuatiliwa kuwa wewe ni jambazi
Mimi Sina mengi lakin nakumbuka mwaka 2018 kwenye miezi ya mwishoni nilikuwa nasafiri kwenda South Africa nilipitia Malawi na Mozambique. Kwenye bus kulikuwa na M, Burundi mmoja na aliniambia Bujumbura inaingia mala 10 kwa Dar es Salaam.Kwanza kabisa niwape pole kwa mihangaiko yenu ya kila siku wana JF.
Kama heading isemavyo hapo juu, mwezi uliopita/Septemba nilifanya ziara ya kitalii nchini burundi, kwa niliyoyakuta ni balaa tupu, very dangerous. Pia kama kuna Warundi humu basi mje mkanushe au myatolee ufafanuzi haya ninayoenda kuyaongea.
1. Hakuna kuoa zaidi ya mke mmoja, hili lilinishangaza sana ndipo nikaamua kulivalia njuga nikaulizia chanzo. Wenyeji waliniambia eti'' ubhanye abhagore bhenshi nta amatogo yachwiye''
2. Zaidi ya 90% ya wafanyakazi wa serikali ni wa chama tawala, wenyewe wanaita IMIGAMBWE. Kwa huku kwetu TZ, Maadili ya viongozi yanakataza wafanyakazi wa serikali kuwa na milengo ya kisiasa, ila kwa Burundi , Waalimu, madaktari, n.k utawakuta kazini wamevaa t-shirt zenye picha ya Rais na chama chake cha CMDD-FDD
3. Mishahara ya wafanyakazi ni pasua kichwa, ni nusu ya hapa kwetu, ila watu bado hawagomi na wanachapa kazi. Mfano, Mwalimu wa shule za upili/Secondary school ni chini ya laki 3 Tsh
4. Wafanya kazi wa ndani ni shida tupu, wengine wanaita UBHUBHOYI au UBHUYAYA, yaani mtu unalipwa Tsh 4000/month, duuu pathetic.
5. Vijana wenye nguvu hukimbilia Tanzania katika mikoa ya Kigoma na Kagera kutafuta vibarua vya kulima mashamba, na hii ni kama uti wa mgongo wa kilimo cha mkoa wa Kigoma, Warundi ndio hulima mahekta mengi kwa ujira mdogo huku wao wakiona ni hela nyingi. Mfano, mtu unalima Hekari ya mita 100 kwa Tsh laki 1 then unaona hela nyingi, duuu
6. Mademu wa burundi ni pasua kichwa, zaidi ya 80% wanatumia pombe kama kuonesha Ubitoz. Na ukimtaka tu wewe mnunulie pombe basi, wanawaogopa watz eti ni Malaya/Abhagilanyi duuu, ila ukipiga kiswahili kizuri ukaahidi kumuoa basi yuko tayari, lakini hataki muishi Burundi bali Tz.
Ongezeeni na mengine, karibu kwa mjadala basi matusi nooo
nkobhe255