Maisha halisi ya Burundi

Kwana kabisa niwape pole kwa mihangaiko yenu ya kila siku wana JF.

Kama heading isemavyo hapo juu, mwezi uliopita/Septemba nilifanya ziara ya kitalii nchini burundi, kwa niliyoyakuta ni balaa tupu, very dangerous. Pia kama kuna Warundi humu basi mje mkanushe au myatolee ufafanuzi haya ninayoenda kuyaongea.

1. Hakuna kuoa zaidi ya mke mmoja, hili lilinishangaza sana ndipo nikaamua kulivalia njuga nikaulizia chanzo. Wenyeji waliniambia eti'' ubhanye abhagore bhenshi nta amatogo yachwiye''

2. Zaidi ya 90% ya wafanyakazi wa serikali ni wa chama tawala, wenyewe wanaita IMIGAMBWE. Kwa huku kwetu TZ, Maadili ya viongozi yanakataza wafanyakazi wa serikali kuwa na milengo ya kisiasa, ila kwa Burundi , Waalimu, madaktari, n.k utawakuta kazini wamevaa t-shirt zenye picha ya rais na chama chake cha CMDD-FDD

3. Mishahara ya wafanyakazi ni pasua kichwa, ni nusu ya hapa kwetu, ila watu bado hawagomi na wanachapa kazi. Mfano, Mwalimu wa shule za upili/Secondary school ni chini ya laki 3 Tsh

4. Wafanya kazi wa ndani ni shida tupu, wengine wanaita UBHUBHOYI au UBHUYAYA, yaani mtu unalipwa Tsh 4000/month, duuu pathetic.

5. Vijana wenye nguvu hukimbilia Tanzania katika mikoa ya Kigoma na Kagera kutafuta vibarua vya kulima mashamba, na hii ni kama uti wa mgongo wa kilimo cha mkoa wa Kigoma, Warundi ndio hulima mahekta mengi kwa ujira mdogo huku wao wakiona ni hela nyingi. Mfano, mtu unalima Hekari ya mita 100 kwa Tsh laki 1 then unaona hela nyingi, duuu

6. Mademu wa burundi ni pasua kichwa, zaidi ya 80% wanatumia pombe kama kuonesha Ubitoz. Na ukimtaka tu wewe mnunulie pombe basi, wanawaogopa watz eti ni Malaya/Abhagilanyi duuu, ila ukipiga kiswahili kizuri ukaahidi kumuoa basi yuko tayari, lakini hataki muishi Burundi bali Tz.

Ongezeeni na mengine, karibu kwa mjadala basi matusi nooo

nkobhe255
Niliwai kaaa Bunjumbula miezi 3 sehemu panaitwa Kamenge!Watanzania wawili walipata deal- wakanitoa mimi kama sample - mimi nilijiongeza! December 2022 Narudi Bunjumbula with 10M$ projects all from Tanzania wazawa.Hawa 2 Watanzania walinipeleka😀wao wanakuja na Kenya Airways mimi nnaenda na Basi! Ila mimi ndo planner na programmer😄!
 
Poti wa kirundi
FB_IMG_1665000283834.jpg
 
Kwanza kabisa niwape pole kwa mihangaiko yenu ya kila siku wana JF.

Kama heading isemavyo hapo juu, mwezi uliopita/Septemba nilifanya ziara ya kitalii nchini burundi, kwa niliyoyakuta ni balaa tupu, very dangerous. Pia kama kuna Warundi humu basi mje mkanushe au myatolee ufafanuzi haya ninayoenda kuyaongea.

1. Hakuna kuoa zaidi ya mke mmoja, hili lilinishangaza sana ndipo nikaamua kulivalia njuga nikaulizia chanzo. Wenyeji waliniambia eti'' ubhanye abhagore bhenshi nta amatogo yachwiye''

2. Zaidi ya 90% ya wafanyakazi wa serikali ni wa chama tawala, wenyewe wanaita IMIGAMBWE. Kwa huku kwetu TZ, Maadili ya viongozi yanakataza wafanyakazi wa serikali kuwa na milengo ya kisiasa, ila kwa Burundi , Waalimu, madaktari, n.k utawakuta kazini wamevaa t-shirt zenye picha ya Rais na chama chake cha CMDD-FDD

3. Mishahara ya wafanyakazi ni pasua kichwa, ni nusu ya hapa kwetu, ila watu bado hawagomi na wanachapa kazi. Mfano, Mwalimu wa shule za upili/Secondary school ni chini ya laki 3 Tsh

4. Wafanya kazi wa ndani ni shida tupu, wengine wanaita UBHUBHOYI au UBHUYAYA, yaani mtu unalipwa Tsh 4000/month, duuu pathetic.

5. Vijana wenye nguvu hukimbilia Tanzania katika mikoa ya Kigoma na Kagera kutafuta vibarua vya kulima mashamba, na hii ni kama uti wa mgongo wa kilimo cha mkoa wa Kigoma, Warundi ndio hulima mahekta mengi kwa ujira mdogo huku wao wakiona ni hela nyingi. Mfano, mtu unalima Hekari ya mita 100 kwa Tsh laki 1 then unaona hela nyingi, duuu

6. Mademu wa burundi ni pasua kichwa, zaidi ya 80% wanatumia pombe kama kuonesha Ubitoz. Na ukimtaka tu wewe mnunulie pombe basi, wanawaogopa watz eti ni Malaya/Abhagilanyi duuu, ila ukipiga kiswahili kizuri ukaahidi kumuoa basi yuko tayari, lakini hataki muishi Burundi bali Tz.

Ongezeeni na mengine, karibu kwa mjadala basi matusi nooo

nkobhe255
Namba 6 itanipeleka Burundi
 
pale mtukania mtu mamayake unatafta kifo

kumiliki silaha zaidi ya moja ni kesi, yaani bora uwe nayo moja zingine rudisha hamna kesi, ila wakija wao kuzichukua ujue unalo
polisi au wanajeshi kuwakuta bar mida ya kazi na mikwasa ni kawaida,

ukikamatwa town huna kitambulisho unapelekwa boda la congo uvira hata kama wewe ulijitambulisha ni m bongo

watutsi wanajiona wako juu, kuliko wahutu

wafanyakazi wa ndani ni wanaume

ukijiamini saana unafuatiliwa kwa muda wote utaoishi nchi ile

wengi hula milo miwili kwa siku

ni rahisi kwenda nchi za nje, na wana[okelewa hasa, Canada, Australia, Sweden, Finland, norway, Belgium na France, katika kila familia lazma wapo member wako nje ya nchi

jumamosi ni siku ya usafi

ukimkuta muislam ni muislam kweli, na ukimkuta mkristo ni mkristo kweli, wanashika dini vilivyo, na ukimkuta asie na dini ndio hivyo hivyo humuelezi kitu

wanapenda sana sombe na maharage ya mawese, mikeke, u rohe na michopo

wana hasira sana hawa jamaa

ukiwa mgeni ni lazma utajulikana tuu, hasa mitaa ya watutsi wengi, kama kinindo, kibenga, kiriri, ila ukijichanganya uswazi bwiza na buyenzi ni kama upo bongo tuu tofauti ni zile sare za bluu na mikwasa yenye magazine zidi ya sita.

yapo mengi tu mazuri kuhusu burundi...nimeweza kumbuka machache, ila la zaidi ni kutunuku, hawana noma wabongo wanatuelewa mno...shida yetu huwa chapa ilale
Askari alikuambia "HAO NINYI" (hapo ulipo)
Usilete ubishi, simama.
Ukisogeza hata hatua moja unakula risasi na hakuna kesi.
Ukiingia Burundi muogope asikari, usilete ujuaji utaiacha dunia kimasihara,,!

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Kwanza kabisa niwape pole kwa mihangaiko yenu ya kila siku wana JF.

Kama heading isemavyo hapo juu, mwezi uliopita/Septemba nilifanya ziara ya kitalii nchini burundi, kwa niliyoyakuta ni balaa tupu, very dangerous. Pia kama kuna Warundi humu basi mje mkanushe au myatolee ufafanuzi haya ninayoenda kuyaongea.

1. Hakuna kuoa zaidi ya mke mmoja, hili lilinishangaza sana ndipo nikaamua kulivalia njuga nikaulizia chanzo. Wenyeji waliniambia eti'' ubhanye abhagore bhenshi nta amatogo yachwiye''

2. Zaidi ya 90% ya wafanyakazi wa serikali ni wa chama tawala, wenyewe wanaita IMIGAMBWE. Kwa huku kwetu TZ, Maadili ya viongozi yanakataza wafanyakazi wa serikali kuwa na milengo ya kisiasa, ila kwa Burundi , Waalimu, madaktari, n.k utawakuta kazini wamevaa t-shirt zenye picha ya Rais na chama chake cha CMDD-FDD

3. Mishahara ya wafanyakazi ni pasua kichwa, ni nusu ya hapa kwetu, ila watu bado hawagomi na wanachapa kazi. Mfano, Mwalimu wa shule za upili/Secondary school ni chini ya laki 3 Tsh

4. Wafanya kazi wa ndani ni shida tupu, wengine wanaita UBHUBHOYI au UBHUYAYA, yaani mtu unalipwa Tsh 4000/month, duuu pathetic.

5. Vijana wenye nguvu hukimbilia Tanzania katika mikoa ya Kigoma na Kagera kutafuta vibarua vya kulima mashamba, na hii ni kama uti wa mgongo wa kilimo cha mkoa wa Kigoma, Warundi ndio hulima mahekta mengi kwa ujira mdogo huku wao wakiona ni hela nyingi. Mfano, mtu unalima Hekari ya mita 100 kwa Tsh laki 1 then unaona hela nyingi, duuu

6. Mademu wa burundi ni pasua kichwa, zaidi ya 80% wanatumia pombe kama kuonesha Ubitoz. Na ukimtaka tu wewe mnunulie pombe basi, wanawaogopa watz eti ni Malaya/Abhagilanyi duuu, ila ukipiga kiswahili kizuri ukaahidi kumuoa basi yuko tayari, lakini hataki muishi Burundi bali Tz.

Ongezeeni na mengine, karibu kwa mjadala basi matusi nooo

nkobhe255
Mimi Sina mengi lakin nakumbuka mwaka 2018 kwenye miezi ya mwishoni nilikuwa nasafiri kwenda South Africa nilipitia Malawi na Mozambique. Kwenye bus kulikuwa na M, Burundi mmoja na aliniambia Bujumbura inaingia mala 10 kwa Dar es Salaam.
 
Back
Top Bottom