Maisha gani haya nimechagua

Maisha gani haya nimechagua

Mzee mimi ni human being typing error ni vitu vya kawaida sana katika uandishi na laiti ungejua kiwango cha elimu yangu kwakweli husingekuwa unakosoa watu ovyo jifunze kunyamaza kwa vitu visivyo na faida na badala yake concentrate kwenye mada husika
Yani bado tena umekosea kuandika na hapo hapo unajitapa una elimu kubwa. Aisee!!

Mwalimu wako anapaswa kupunguziwa mshahara mana kakufundisha mambo ya hakili badala ya akili
 
Nishamalizana na mambo ya shule miaka mitatu nyuma iliyopita sasahivi nafanya mambo mengine katika jamii , na maranyingi watu ambao wana tabia kama zako kukosoa vitu visivyo na maana yeyote huwa nawachukulia walugaluga sana na mmoja wapo niwewe nakuita mlugaluga kujifanya unajua sana kuriko wengine, ndio maana nikatanguliza mimi human being kukosea vitu vya kawaida sana ndio maana huwezi nikuta nakosoakosoa watu ovyo sababu najua ni vitu vya kawaida sana na kukosea kuandika humu haimanishi elimu yangu ndogo kiasi hicho tena inawezekana nimekuzidi sana ila sometimes vitu vya kijinga sana kuonesha watu wewe ni mtu wa aina gani katika jamii
Yani bado tena umekosea kuandika na hapo hapo unajitapa una elimu kubwa. Aisee!!

Mwalimu wako anapaswa kupunguziwa mshahara mana kakufundisha mambo ya hakili badala ya akili
 
Naombeni msaada wakuu , nimekuwa na walaghai sana mabinti wawatu hadi kupagawa nakunitambulisha kwao wakizani nitakuja kuwaoa lakini hakiri yangu haipo huko , nimekuwa nikiwaonea sana huruma kwani wengine ujikuta wanajishugurisha sana katika mapenzi kwa namna moja ama nyingine wakizani nitawaoa natamani niwaambie tu ukweli lakini naona huruma sana jinsi ya kuwaacha kwani nimewapotezea sana muda wao naombeni ushauri nini nifanye kuepuka kugandwa hivi na hawa wapenzi wangu, nataka niwapunguze angalau nibaki na mmoja lakini wote wanaonesha kunipenda na kuniapia kutoniacha sijui nifanyeje mie
Umeshajijua afya mgogoro unataka kuua watato wa watu kwa ukimwi tu
 
Ubaya ni kwamba malipo ya ngono hasa hasa ngono zembe ni STDs..
 
Oa wote mdogo wangu unajipa tabu ya nn? Alafu aya mambo ya mke mmoja sio asili yetu kabisa waafrica tumeletewa tu
 
Duuuh..tabia mbaya sana aiseee..mie nikidate na msichana siku hizi nawaambia tu ukweli....kuna ambae anaweza anza kujipendekeza zaidi ili nimuache mtu wangu...ikishindikana anaondoka mwenyewe..kuna ambae tunakutana mara mbili tatu then tunapotezana au tunakua marafiki tu...lkn nawaambia
 
Rafiki wewe ni KAPEPO kweli kweli maana mwanadamu aliye mcha Mungu hawezi kijisifia uzinifu kiasi hicho ,ila all in all mshahara wa msaliti unalipwa kwa usaliti
 
lakini wote wanaonesha kunipenda na kuniapia kutoniacha sijui nifanyeje mie

Hapo ndipo walipokuingiza chaka Mkuu
Chagua mmoja then wengine kama wanafaa kwa matuizi endelea nao

BTW Karma has no menu, you will get what you deserve at the end
Thank me later
 
siwezi kumhukumu mtoa mada, moja ya watu wanaopendwa sana na wadada ni wanaume wenye wanawake wengi. nahisi hua wanakitu wanakiona unique kwa hao watu... natamani niandike mengi ila kwa kifupi ni hicho!
 
Nishamalizana na mambo ya shule miaka mitatu nyuma iliyopita sasahivi nafanya mambo mengine katika jamii , na maranyingi watu ambao wana tabia kama zako kukosoa vitu visivyo na maana yeyote huwa nawachukulia walugaluga sana na mmoja wapo niwewe nakuita mlugaluga kujifanya unajua sana kuriko wengine, ndio maana nikatanguliza mimi human being kukosea vitu vya kawaida sana ndio maana huwezi nikuta nakosoakosoa watu ovyo sababu najua ni vitu vya kawaida sana na kukosea kuandika humu haimanishi elimu yangu ndogo kiasi hicho tena inawezekana nimekuzidi sana ila sometimes vitu vya kijinga sana kuonesha watu wewe ni mtu wa aina gani katika jamii
Naona unastress za kukosa ajira bwana mdogo! Punguza mihemuko na uwe na akili na sio hakili kwa kudhani elimu yako inakusaidia humu jf kwenye fake I'd kibao na watu tofauti na akili tofauti.

Hata kama unaelimu bado haikusaidii mana hujui hata matumizi ya L na R na tena umetoka shule juzi tu ila hujui kuandika.

Punguza povu bwana mdogo na hadi hapo nimegundua huna elimu yoyote ila umeanza kutumia simu janja juzi basi unaona kila mtu unamzidi.

Usipende kujitapa hovyo bwana mdogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom