Maisha gani haya nimechagua

Maisha gani haya nimechagua

Saaa mkuu tutaishi maisha haya hadi lini kuwaumiza hawa wenzetu wakizani tunawapenda kumbe tunataka tu kupita nao asee
Write your reply...watatu unaangaika wengine tunao saba Leo dp whatsap tunamuweka huyu huku wengine tunawahide kweny status view nkitoka na demu moja mtaani navaa kapelo na nguo ambayo hawajawah niona nayo cha msingi wasigongane ghetto


dah naisha Sana kwa mashaka yaani chumba changu nakiona uchungu kukaa
 
Write your reply...watatu unaangaika wengine tunao saba Leo dp whatsap tunamuweka huyu huku wengine tunawahide kweny status view nkitoka na demu moja mtaani navaa kapelo na nguo ambayo hawajawah niona nayo cha msingi wasigongane ghetto


dah naisha Sana kwa mashaka yaani chumba changu nakiona uchungu kukaa
Usipende kupeleka mademu zako gheto kwako. Kwako mpeleke mchumba wako tu, wanawake sio watu wazuri watakulia timing wakugeuze ndondocha bule.
 
Naombeni msaada wakuu , nimekuwa na walaghai sana mabinti wawatu hadi kupagawa nakunitambulisha kwao wakizani nitakuja kuwaoa lakini hakiri yangu haipo huko , nimekuwa nikiwaonea sana huruma kwani wengine ujikuta wanajishugurisha sana katika mapenzi kwa namna moja ama nyingine wakizani nitawaoa natamani niwaambie tu ukweli lakini naona huruma sana jinsi ya kuwaacha kwani nimewapotezea sana muda wao naombeni ushauri nini nifanye kuepuka kugandwa hivi na hawa wapenzi wangu, nataka niwapunguze angalau nibaki na mmoja lakini wote wanaonesha kunipenda na kuniapia kutoniacha sijui nifanyeje mie
kajina kako, (KAPEPO) kana sadifu tabia yako!

Ngoja nawe dada ZAKO, au watoto wako, au MKEO UTAOA ALIYE DANGANYWA....
 
Unaonaje ukatoa hiyo marinda yako mi naona utakuwa hupati tena hiyo shida.

spoiler
 
Kama mwandiko wenyewe ni huu na bado wanakuganda, basi nao wana hakiri kama zako.
Wangekuwa na akili wasingekugnda
 
Akiri? Hakiri? Akili? Wewe ndio umenikosoa mimi mwandiko
Kama mwandiko wenyewe ni huu na bado wanakuganda, basi nao wana hakiri kama zako.
Wangekuwa na akili wasingekugnda
 
Ongeza wengine mkuu hawa madem dawa yao ndio hio kwsbb ukweli huwa hawautaki kabisa lkn uwongo wanaukubali kwa %100‍♂️
 
Akiri? Hakiri? Akili? Wewe ndio umenikosoa mimi mwandiko
Kwa hiyo waona mi nimekosea? Si wewe ndo umeandika "Hakili" au umesahau hata ulichokiandika? Kweli wewe unahakili aisee ila ungekuwa na akili basi ungerejea kuedit ulichoandika.

Endelea na hakili zako
 
Mzee mimi ni human being typing error ni vitu vya kawaida sana katika uandishi na laiti ungejua kiwango cha elimu yangu kwakweli husingekuwa unakosoa watu ovyo jifunze kunyamaza kwa vitu visivyo na faida na badala yake concentrate kwenye mada husika
Kwa hiyo waona mi nimekosea? Si wewe ndo umeandika "Hakili" au umesahau hata ulichokiandika? Kweli wewe unahakili aisee ila ungekuwa na akili basi ungerejea kuedit ulichoandika.

Endelea na hakili zako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom