Maisha gani haya nimechagua

Maisha gani haya nimechagua

Kapepo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2015
Posts
1,078
Reaction score
1,227
Naombeni msaada wakuu,

Nimekuwa na walaghai sana mabinti wa watu hadi kupagawa na kunitambulisha kwao wakidhani nitakuja kuwaoa lakini akili yangu haipo huko , nimekuwa nikiwaonea sana huruma kwani wengine hujikuta wanajishugulisha sana katika mapenzi kwa namna moja ama nyingine wakidhani nitawaoa.

Natamani niwaambie tu ukweli lakini naona huruma sana jinsi ya kuwaacha kwani nimewapotezea sana muda wao.

Naombeni ushauri nini nifanye kuepuka kugandwa hivi na hawa wapenzi wangu. Nataka niwapunguze angalau nibaki na mmoja lakini wote wanaonesha kunipenda na kuniapia kutoniacha sijui nifanyeje mie.
 
Write your reply...watatu unaangaika wengine tunao saba Leo dp whatsap tunamuweka huyu huku wengine tunawahide kweny status view nkitoka na demu moja mtaani navaa kapelo na nguo ambayo hawajawah niona nayo cha msingi wasigongane ghetto


dah naisha Sana kwa mashaka yaani chumba changu nakiona uchungu kukaa
 
Badilisha hiyo ID mkuu, maana naona kabisa ina sadifu tabia yako mbaya
 
Unahitaji maombi ya kukemea hako kapepo ka ngono kabla halijawa pepo kamili vinginevyo tutakufukia muda mchache ujao.
 
Nenda kwanza kapime ukimwi alafu ndio uanze kuwaacha mmoja mmoja
 
Jambo la kufanya ni Moja kama si mawili
1.Acha uongo
2.Usifake(kupretend)
 
Kama umekaa ukatafakari kua unachofanya si kizuri uko kwenye hatua nzuri ya kutambua kosa lako.
Tafuta tu ujasiri wa kuwaambia ukweli.Unaweza uone unachofanya ni uana-ume na goodlife lakini matokeo yake sio mazuri.
Life is too short kuumiza wengine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom