Maisha club na utoto

Maisha club na utoto

Nilipata zali la kwenda kwa Trump, tulikwenda club ndani ni all ages. Unamkuta babu wa 80+ anayarudi hapa na beer yake, pembeni kuna wa 30+ na mpenzi wake wanayarudi


Nilielewa maisha ya Le Mutuz siku ile.

Ni kweli , umenikumbusha mbali sana mara ya kwanza kufika US mwaka 2000 tulienda club na mwenyeji wangu ikapigwa 'Back That Thang Up' ya Juvenile. Kuna mzee kwa muonekano umri ni zaidi ya miaka 60 alienda nayo hiyo ngoma hadi chini akakamata floor du.. nikawa natoa macho tu wenyeji wanaona kawaida.
 
Ni kweli , umenikumbusha mbali sana mara ya kwanza kufika US mwaka 2000 tulienda club na mwenyeji wangu ikapigwa 'Back That Thang Up' ya Juvenile. Kuna mzee kwa muonekano umri ni zaidi ya miaka 60 alienda nayo hiyo ngoma hadi chini akakamata floor du.. nikawa natoa macho tu wenyeji wanaona kawaida.
Kule ndiyo wana practice ile theory ya ‘age is how you feel it’
 
Y

Bukoba panaboa sehemu iliyobamba ni moja tu panaitwa Sky

Ooh really... ntarudi safari ingine Bukoba na baba la mababa.

Ila itakuwa kimya kimya kama ukimya ulivyotanda sasa....

Asante kwa kunitonya.
 
Hata sikumbuki inaitwaje hiyo club ilikuwa miaka 5 iliyopita. Iko opposite na hotel moja nje ina sanamu kubwa la sato. Bukoba mjini.
hahahhhhh Linas club hyo pana madj washamba htari pale ila cku hz kuna club nyingi kdgo mm nlikuw yko juz htarii kwanza nlianzia pale Sky motel kula makange nkapumzka usku hyooo mpk liquid lakn nkaona pako pamepoa nkahamia the meant kdgo nkahs npo club kuanzia mazngira nje mpk ndani yan panadeserve kuitwa night club.
 
Y

Bukoba panaboa sehemu iliyobamba ni moja tu panaitwa Sky
Ulitoka lin huko maana mm nmekuta club hyo ya liquid ni ndogo lakn ipo vzr wanapga mziki na upande wa pili humohumo ndani wanapga live band sema copy hizi kwahyo unazuga club ukiona vp unavuka mlango unaingia live band sema the meant pako poa.
Sehm nyngne ni Nalphyn club ipo bukoba pale ndio DJs wake wa najua nilicheza mpk alfajir saa kumi na moja yan kama umevurugwa upo bukoba ingia ile club ya muleba aisee ipo vzr mziki mzito na DJs wake ni fireeeee
 
Sisi wengine ni wapenzi wa Mziki japo mara moja au mbili kwa juma. Zamani nilikuwa naenda club/bar kuanzia Ijumaa lakini sasa nimepunguza sana. Pengine mara moja au mbili kwa wiki. Na kwa hakika kinachonipeleka ni Muziki.


Jambo la ajabu au kijinga ukifuatilia, hakuna mpangilio wa Mziki. Ni kama Dj anaamua nyimbo zinazomfurahisha tu!!! Kuna nyakati zaidi ya dk 20 unaona wateja hawajachangamka!!!

U-Dj ni kazi kabisa, si usharobaro wa kijinga. Read your customer needs then respond reciprocal!
Bar mara mbili kwa week..mm mara moja kwa mwezi au mara zero kwa mwezi
 
Ulitoka lin huko maana mm nmekuta club hyo ya liquid ni ndogo lakn ipo vzr wanapga mziki na upande wa pili humohumo ndani wanapga live band sema copy hizi kwahyo unazuga club ukiona vp unavuka mlango unaingia live band sema the meant pako poa.
Sehm nyngne ni Nalphyn club ipo bukoba pale ndio DJs wake wa najua nilicheza mpk alfajir saa kumi na moja yan kama umevurugwa upo bukoba ingia ile club ya muleba aisee ipo vzr mziki mzito na DJs wake ni fireeeee
Basi sikupata mwenyeji mzuri
 
Ulitoka lin huko maana mm nmekuta club hyo ya liquid ni ndogo lakn ipo vzr wanapga mziki na upande wa pili humohumo ndani wanapga live band sema copy hizi kwahyo unazuga club ukiona vp unavuka mlango unaingia live band sema the meant pako poa.
Sehm nyngne ni Nalphyn club ipo bukoba pale ndio DJs wake wa najua nilicheza mpk alfajir saa kumi na moja yan kama umevurugwa upo bukoba ingia ile club ya muleba aisee ipo vzr mziki mzito na DJs wake ni fireeeee
Mkuu hiyo club ya Muleba ina itwaje? Au hapo town kuna club ina itwa Muleba? Next week naenda kuizunguka Bukoba yote.. nipe cordinates nikaruke debe na Wahaya wenzangu
 
Uko sawia kabisa.....

Kuna club moja nilienda bukoba, hadi saa saba usiku anapiga nyimbo ambazo hata hazieleweki..... nikachukia nikatoka kwenda zangu kulala japo nilikuwa na mzuka wa kubambiwa ile mbaya.

Ila kuna club nilienda mwanza ile iko underground juu kuna hotel, nilicheza mziki mwanzo mwisho, niliingia pale saa 4 usiku hakuna hata watu nikaondoka club saa 10 alfajir na hapo niliacha watu bado wanayarudi hehehehehee.

Napenda sana kucheza mziki, unachokisema nakuelewa vizuri, nafikiri baadhi ya wamiliki wanamwambia DJ afanye hivo ili wauze vinywaji, kumbe hawajui mtu ukicheka sana unasikia kiu utanunua tuu vinywaji vingi kuliko ukikaa bila kucheza.
Dhana ya Madj kuwa juu ya dancing stage ni kuwa, aweze kuona jinsi watu wanavyopagawishwa na kila nyimbo anayoipiga. Ukiona umepiga nyimbo watu wako doroooooooooooooooooo, una switch faster kwenye midundo inayochezeka.
Ila unategemea nini Dj akipiga zile nyimbo za embe dodo mtindo mmoja. Koro Korora mama korora korora mtindo mmoja................
 
Back
Top Bottom