Maisha club na utoto

Maisha club na utoto

Sure, ila bar zingine inakua ni kero. Huwezi sikiliza 2 hrs nyimbo za mtu mmoja
Nipo kwenye grocery 1 sahivi ni mwendo wa Aslay kwenda mbele, full playlist kuanzia ule Mama hadi huu mpya 'Raha', ila dogo anangoma kali wacha tuenjoy
 
!
!
Sogea Club Legend Kwa Mkongwe Dj Jd
Completely sure, jamaa ana kipaji na ana kua kucheza na haraiki iliyopo. nimecheza Disco lake toka Morogoro hotel (Shimoni), Mambo Club, Billz, Synegy Lounge, Isumba Lounge, Kilimanjaro Hyatt Lounge na sasa Club The Legends. Wazee John Dillinga Matilou is Talented Tuache utani!
 
Completely sure, jamaa ana kipaji na ana kua kucheza na haraiki iliyopo. nimecheza Disco lake toka Morogoro hotel (Shimoni), Mambo Club, Billz, Synegy Lounge, Isumba Lounge, Kilimanjaro Hyatt Lounge na sasa Club The Legends. Wazee John Dillinga Matilou is Talented Tuache utani!


!
!
Mkongwe Tutakuwa Tume rukia Wote Shimoni Pale Morogoro Hotel.
 
Uko sawia kabisa.....

Kuna club moja nilienda bukoba, hadi saa saba usiku anapiga nyimbo ambazo hata hazieleweki..... nikachukia nikatoka kwenda zangu kulala japo nilikuwa na mzuka wa kubambiwa ile mbaya.

Ila kuna club nilienda mwanza ile iko underground juu kuna hotel, nilicheza mziki mwanzo mwisho, niliingia pale saa 4 usiku hakuna hata watu nikaondoka club saa 10 alfajir na hapo niliacha watu bado wanayarudi hehehehehee.

Napenda sana kucheza mziki, unachokisema nakuelewa vizuri, nafikiri baadhi ya wamiliki wanamwambia DJ afanye hivo ili wauze vinywaji, kumbe hawajui mtu ukicheka sana unasikia kiu utanunua tuu vinywaji vingi kuliko ukikaa bila kucheza.
pia unapenda kuchezewa pale katikati ya miguu minene bila shaka...maana club mafisi ni mrngi na huchomoki hata ma nje umepake range. bisha
 
Completely sure, jamaa ana kipaji na ana kua kucheza na haraiki iliyopo. nimecheza Disco lake toka Morogoro hotel (Shimoni), Mambo Club, Billz, Synegy Lounge, Isumba Lounge, Kilimanjaro Hyatt Lounge na sasa Club The Legends. Wazee John Dillinga Matilou is Talented Tuache utani!
Muziki wa Disco haujawahi kumuacha mtu salama.Bilz ilinoga sana😀😀
 
DJ mzuri anabandika bandua nyimbo zinazo heat na anachanganya bolingo reggae muffin rnb hip hop za ki Nigeria bongo fleva na zote zinazochezeka.

Music is an art kama DJ sio artist.... atakuwa anamkosesha mapato mwenye club kwa tamaa ya kuuza vinywaji.

Club watu wamefata mziki, vinywaji wanakunywa kukidhi kiu inayokuja baada ya kucheza. Hawaelewi tuu.
wengine club ni kudance mwanzo,,,,,vinywaji vipo daily....ila dance umejipangia kila mwisho wa wiki....
 
wengine club ni kudance mwanzo,,,,,vinywaji vipo daily....ila dance umejipangia kila mwisho wa wiki....

In love with music. ....

In love with dance. ...

Ashiki ya mziki ikipanda huwa nacheza hadi taarifa ya habari.... hehehee

Kasie Matata.
 
Y
Hata sikumbuki inaitwaje hiyo club ilikuwa miaka 5 iliyopita. Iko opposite na hotel moja nje ina sanamu kubwa la sato. Bukoba mjini.
Bukoba panaboa sehemu iliyobamba ni moja tu panaitwa Sky
 
Back
Top Bottom