Maisha club na utoto

Maisha club na utoto

Uko sawia kabisa.....

Kuna club moja nilienda bukoba, hadi saa saba usiku anapiga nyimbo ambazo hata hazieleweki..... nikachukia nikatoka kwenda zangu kulala japo nilikuwa na mzuka wa kubambiwa ile mbaya.

Ila kuna club nilienda mwanza ile iko underground juu kuna hotel, nilicheza mziki mwanzo mwisho, niliingia pale saa 4 usiku hakuna hata watu nikaondoka club saa 10 alfajir na hapo niliacha watu bado wanayarudi hehehehehee.

Napenda sana kucheza mziki, unachokisema nakuelewa vizuri, nafikiri baadhi ya wamiliki wanamwambia DJ afanye hivo ili wauze vinywaji, kumbe hawajui mtu ukicheka sana unasikia kiu utanunua tuu vinywaji vingi kuliko ukikaa bila kucheza.
Bukoba, Liquid ama The Mint?
 
Club huwa nafuata kimoja tu na SIO MUZIKI....
IMG_20180422_080359_434.jpg
 
Njoo Pub Alberto 24 hours hautojuta mkuu.......Starehe ya kucheza mziki nilianza toka utotoni nilikua nacheza na wazungu kila sikukuu. Sasa hivi Nina maisha yangu kila mwisho wa mwezi naenda club tatizo watu ninaoishi nao wananiona mhuni kisa natoka naenda club.Ila club ndo starehe yangu....
 
Njoo Pub Alberto 24 hours hautojuta mkuu.......Starehe ya kucheza mziki nilianza toka utotoni nilikua nacheza na wazungu kila sikukuu. Sasa hivi Nina maisha yangu kila mwisho wa mwezi naenda club tatizo watu ninaoishi nao wananiona mhuni kisa natoka naenda club.Ila club ndo starehe yangu....

Alberto ya wapi? Kama ya moshi sawa ila kama ni ile ya Dom amna kitu pale
 
Uko sawia kabisa.....

Kuna club moja nilienda bukoba, hadi saa saba usiku anapiga nyimbo ambazo hata hazieleweki..... nikachukia nikatoka kwenda zangu kulala japo nilikuwa na mzuka wa kubambiwa ile mbaya.

Ila kuna club nilienda mwanza ile iko underground juu kuna hotel, nilicheza mziki mwanzo mwisho, niliingia pale saa 4 usiku hakuna hata watu nikaondoka club saa 10 alfajir na hapo niliacha watu bado wanayarudi hehehehehee.

Napenda sana kucheza mziki, unachokisema nakuelewa vizuri, nafikiri baadhi ya wamiliki wanamwambia DJ afanye hivo ili wauze vinywaji, kumbe hawajui mtu ukicheka sana unasikia kiu utanunua tuu vinywaji vingi kuliko ukikaa bila kucheza.
Unabambiwa
 
Ni kero mkuu, niko bar moja time hii, yaani nyimbo ni za aslay , wasafi, bongo flava. Its too boring, tunatamani genres nyingine, ila madj wengi ni 'washamba'
 
Back
Top Bottom