platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,548
- 11,517
Sisi wengine ni wapenzi wa Mziki japo mara moja au mbili kwa juma. Zamani nilikuwa naenda club/bar kuanzia Ijumaa lakini sasa nimepunguza sana. Pengine mara moja au mbili kwa wiki. Na kwa hakika kinachonipeleka ni Muziki.
Jambo la ajabu au kijinga ukifuatilia, hakuna mpangilio wa Mziki. Ni kama Dj anaamua nyimbo zinazomfurahisha tu!!! Kuna nyakati zaidi ya dk 20 unaona wateja hawajachangamka!!!
U-Dj ni kazi kabisa, si usharobaro wa kijinga. Read your customer needs then respond reciprocal!
Jambo la ajabu au kijinga ukifuatilia, hakuna mpangilio wa Mziki. Ni kama Dj anaamua nyimbo zinazomfurahisha tu!!! Kuna nyakati zaidi ya dk 20 unaona wateja hawajachangamka!!!
U-Dj ni kazi kabisa, si usharobaro wa kijinga. Read your customer needs then respond reciprocal!