The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,140
- 116,068
ni kawaida watu wengi hata hapa jf kuzungumzia faida za kuwa na mpenzi
na hasara za kutokuwa nae.....
pamoja na yote mtu anaweza kuamua kuwa single kwa maana ya kutokuwa na mpenzi
lakini mara chache sana huwa tunazungumzia hasara au faida za kuwa au kutokuwa na marafiki au rafiki
hapa nazungumzia rafiki wa kawaida ambae most of times ni wa jinsia moja......
swali ambalo nimejiuliza ni hili
ni lazima mtu kuwa na rafiki/marafiki?????/
hasara za kuishi bila rafiki/marafiki?????
ni kwa nini hatungumzii saana uurafiki huuu na umuhimu wake?????
binafsi huwa nawaa admire wale ambao their best friend unakuta ni mkewe au mumewe
wewe je unaonaje????????
best wako ni mkeo/gf/bf/mumeo??????
kama sio,je huyo best wako anahusika vipi na life yako???????/
unaweza kuishi bila rafiki?????????????
na hasara za kutokuwa nae.....
pamoja na yote mtu anaweza kuamua kuwa single kwa maana ya kutokuwa na mpenzi
lakini mara chache sana huwa tunazungumzia hasara au faida za kuwa au kutokuwa na marafiki au rafiki
hapa nazungumzia rafiki wa kawaida ambae most of times ni wa jinsia moja......
swali ambalo nimejiuliza ni hili
ni lazima mtu kuwa na rafiki/marafiki?????/
hasara za kuishi bila rafiki/marafiki?????
ni kwa nini hatungumzii saana uurafiki huuu na umuhimu wake?????
binafsi huwa nawaa admire wale ambao their best friend unakuta ni mkewe au mumewe
wewe je unaonaje????????
best wako ni mkeo/gf/bf/mumeo??????
kama sio,je huyo best wako anahusika vipi na life yako???????/
unaweza kuishi bila rafiki?????????????