kwani rafiki unamfutaje? Nimeona na lizzy anasema anataka awafute wengine.mie na wengi mpaka wengine natamani kuwafuta katika list langu...if you need i can give you some...
Tafiti nyingi zinzonyesha kua mtu aliye mpweke hua hana furaha na mra nyingi hupata msongo wa mawazo maana hana mtu wakumweleza matatizo yake na furaha zake.ila mtu aliwa na marafiki wengi wakumfariji wakati wa matatizo na wa kushirikiana nao wakati wa furaha mtu huyu huishi maisha marefu.nawasihi wana jf kuwa na marafiki na kuepuka upweke.
Huo mgomo uwe wa kudumu tena aisee!mkeo anaweza kuziba pengo...sina marafiki,thats why lolna nimegoma ku wa register lol