Maisha baada ya talaka

kichwa nazi, ndani hewa na maji
 
Inategemea ni ndoa ya kanisa gani, ndoa za kikatoliki ni mpaka kifo kiwatenganishe, inaweza kuvunjwa na Pope kama kuna sababu maalum (nimezisahau). Mkiachana kinyume na hayo, ndoa ya bomani inahusu.
sababu ambayo inaweza kupelekea Baba Mtakatifu, kuivunja sacrament ya ndoa;-
1. ni pale kama kuna moja kati ya wanandoa alimuongopea mwenzake, mfno labda alikuwa kaisha funga ndoa nyingne na kanisa lingne, ila kubwa zaidi ni pale mmoja kubainika kuwa na matatizo ya akili ila alimficha mwenzake
2.moja kati ya wanandoa anamatatzo ya kibiolojia, ether asimamishi lkn alimficha mwenzake n.k. ila hii ya pili sio sabbu kubwa sana...

namaliza kwa kusema, ndoa ieheshimiwe na watu wote, kwani kulingana na mafundisho ya kanisa takatifu katoliki, Adui mkuu wa kwanza wa ndoa ni wanandoa wenyewe wala si wengne...
 
uzi unakosa ukakasi kwakuwa ujatanabaisha ni ndoa ya dhehebu gani, coz ndoa pia jambo la kiimani zaidi, kwa waislamu ni tofauti na madhhebu mengine, na kwa ss wakatoliki ndio tofauti kabisa, hakunaga neno TALAKA, ndio maana tunaimizwa kusoma na kuudhuria seminer za ndoa kwa kadir ya uwezo wako, utakiwi kukurupuka

Asante Mssinyor Mbiku, Paroko wa chuo kikuu cha DSM kunipa ujasiri wa kuingia kwenye sacrament ya ndoa hapo badae
 
Umefafanua vizuri kama mleta uzi ni mkatoliki, aangalie kama talaka yake moja ya chanzo ni hayo uliyoeleza.
 
Inategemea ni ndoa ya kanisa gani, ndoa za kikatoliki ni mpaka kifo kiwatenganishe, inaweza kuvunjwa na Pope kama kuna sababu maalum (nimezisahau). Mkiachana kinyume na hayo, ndoa ya bomani inahusu.


kufumaniwa akizini, kama akiwa tasa
 
Asante. Binti mwenyewe anasali kabisa la walokole na bado yuko kanisani anasali. Ila mchungaji kamwambia akiolewa tu anatengwa kanisani, ndo hapo anawaza na umri MDOGO huo asipoolewa so ndo anaruhisu kuwa mzinzi na muasherati.?
 
Asante. Binti mwenyewe anasali kabisa la walokole na bado yuko kanisani anasali. Ila mchungaji kamwambia akiolewa tu anatengwa kanisani, ndo hapo anawaza na umri MDOGO huo asipoolewa so ndo anaruhisu kuwa mzinzi na muasherati.?
Chanzo cha kuachana n nn?
 
Ni mlokole
 
Ndoa hadi kifo kama kuna penzi la kweli, kuheshimiana na hakuna manyanyaso. Hizi sheria za mwaka 47 zimepitwa na wakati watu badala ya kulazimishwa waishi kwenye ndoa zilizojaa mateso waruhusiwe kuachana na kuoa/kuolewa tena.

 
Asante. Binti mwenyewe anasali kabisa la walokole na bado yuko kanisani anasali. Ila mchungaji kamwambia akiolewa tu anatengwa kanisani, ndo hapo anawaza na umri MDOGO huo asipoolewa so ndo anaruhisu kuwa mzinzi na muasherati.?
Si arudi kwenye makanisa mengine? Mbona kazi rahisi tu? Well, in my opinion though.
 

Its funny how grown up ppl subscribe to ancient medieval set of rules to rule their lives...we should think and run our lives for ourselves like independent human beings and not a group la kondoo waiting for someone to tell u what to do!
 
Nashangaa watu wanasema hakuna kuachana, lakini ukweli upo kwenye biblia na sababu za msingi za kuachana kwenu zipo.
 
why don't you change your attitude instead of wanting to get married again why don't you thing of first living a marriage life then you get married again. cause what your thinking mostly is getting married again while the marriage life is not in your passion. maybe that is the reason why you where divorced before
 
Kwa hiyo bilblia iliposema ni sawa kumwacha mwenzio kwa uasherati inapingana na kauli ya kiapo mpaka kifo?
 
Kosa la kuachana ni moja tu "uaesharati" kadiri ya maandiko ya Biblia.. Na neno hili UASHERATI kibiblia Lina maana na uhusiano wa kimapenzi ya wanandugu.. Yaani mtapogundua Kuwa ndoa yenu imebainika Kuwa mlioana wana ndugu ambao hamkufahamiana kabla ya ndoa yenu, hivyo mtapobaini Kuwa nyie ni ndugu mkiwa kwenye ndoa yenu, basi ndipo ndoa hiyo itavunjwa kwa kupeana talaka... Na sio jambo lingine..... Sasa ndg yangu, leo hii ni rahisi kutokea jambo hilo?
 
Naomba fungu ktk maandiko kuthibitisha kauli yako.

Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…