Maisha baada ya talaka

Maisha baada ya talaka

Ndio kusema dada kabla hajaachwa alikua na Spare tyre wake pembeni na sasa anataka kumfunga atembee barabarani
 
cc Sky Eclat "inaweza kuvunjwa na Pope kama kuna sababu maalum (nimezisahau)". umenichekesha aisee....inaweza vunjwa ila ni hatua ndefu na sbabu kuu huwa ni uasherati ila ngazi ya kuvunja huwa kuna mahakama za kanisa kama ni catholic wengine sijui kwa kweli
 
Ni mlokole
sina experience na haya mambo ya walokole, ila ninachofahamu hakuna dhehebu la walokole..
ila nikienda mbali hizo huwa pia ni laana za kukimbia kanisa katoliki na kuangaika na madhehebu mengine, haya madhehebu/makanisa mengine yamekosa lugha na fomula moja, ndio maana waaumini wanabaki kuwa na matatizo na hakuna wakuwafanyia ufumbuzi matatzo yao..
huko ndiko kuliko jaa uzinz, roho za uchawi, ushirikina, tamaa nk, (ee Mwenyezi Mungu nisamehe kwa haya maneno yangu)
 
Its funny how grown up ppl subscribe to ancient medieval set of rules to rule their lives...we should think and run our lives for ourselves like independent human beings and not a group la kondoo waiting for someone to tell u what to do!
hayo ndio aina ya maisha niliyoamua kuchagua na bila kuchaguliwa na mtu and that life make me to live happy and make me to enjoy to be in Catholic kingdom
 
Kupigwa sana kuhatarisha maisha yake.kuna kipindi alipigwa hadi kupoteza fahamu Siku tatu
binafsi mm nampa pole, ila pia aliingia kwenye maisha ya ndoa ether kwa shinikizo, tamaa au kwa utashi wake..
hakuweza kupata mafundisho au elimu ya mahusiano, uchumba na ndoa, kama angeweza kufanya hvyo hayo yasingemkuta...
kama ni kipigo tu, hiyo pia siyo sabbu ya kumfanya akimbie ndoa yake, avumilie na kumuomba Mungu ampe roho ya uvumilivu na hata kumpa roho ya ulegevu hyo mumewe
 
Habari,

Naomba kwa wenye uelewa mpana hasa kwa wakristo kuhusu MTU aliyepeana talaka na mumewe Je, anawezekana kuolewa tena kwa ndoa ya kanisani kama ilivyokuwa awali?

Ukizingatia MTU hiyo umri bado MDOGO huko Kwenye 20s tumsaidiaje MTU huyu ili asiangukie kwenye uzinzi?

Wakristo nisaidieni Tafadhali.

Abadili dini tu aanze upya upande wapili
 
Kwa mujibu wa biblia ndoa baada ya talaka ni mpaka kifo.Hata kama mmepesna talaka kimahakama au kwa namna yoyote,Mumgu anahesabu bado ni ndoa mpaka mmoja wao atakapokufa ndio huyo dada atakuwa huru kuolewa. Akifanya vinginevyo ni dhambi.Hii ni kwa mujibu ww biblia inaapply kwa makanisa yote yanayoifuata biblia takatifu.
si kweli,talaka ipo kwa uzinzi tu
 
sielewi biblia inasema talaka ipo ila isababishwe na uzinzi kati ya wanandoa ndipo unatakiwa kumuacha mwenzio lkn ukija makanisani nako daaa sheria kibao mpk kifo,which is which sasa
unafuat kanisa au biblia?
 
Mungu anachukia kuachana mkuu.

Mungu anachukizwa na dhambi tu na sio kuachana sababu kuna maana gani ya watu kuendelea kuwa ndani ya ndoa huku kila mmoja akimsaliti nwenzake? Hapo mnakuwa mkiwalidhisha walimwengu na sio Mungu tena.
 
Ndoa, hapa sizungumzii ya kanisa fulani ila kwa mujibu wa Biblia, talaka ipo ila kama chanzo cha ugomvi ni uasherati........ Though Mungu anachukia kuachana na hajapanga ndoa iharibiwe.
Soma Mathayo 5:31-32.

Na baada ya kuachana kwa talaka. Waweza oa/olewa......
Lakini, ktk ukristo, kila kanisa lina utaratibu wake,
Nani anaongea na Mungu akamwambia anachukia wenye ndoa kuachana? Mimi wangu kanikimbia saa hiz nachukua mtaan na kila siku nabeba naleta na kugongea hom.
 
Nani anaongea na Mungu akamwambia anachukia wenye ndoa kuachana? Mimi wangu kanikimbia saa hiz nachukua mtaan na kila siku nabeba naleta na kugongea hom.
kwanini alikimbia, ni kitu gani ulichotakiwa kumfanyia asikimbie haukufanya hadi akakimbia? I hope you were not irresponsible.
 
Watanzania sijui lini mtaelimika na dini za kuletewa,vifungu vingiiiiiii,cha kuamini ni nafsi yako tu,kama basi basi,akipata jamaa wafunge ndoa tu,ndo maana naupenda uislam,hamna longo longo,mmeshindwana basi.
 
Nijuavyo Mimi wakati ndoa za kikristo zinafungwa.... Wanasema alichokiunganisha mungu mwanadamu asikitenganishe.... Kifo ndo kiwatenganishe so hao wanaotenganisha ndoa za watu huenda nao ni vifo.... Asubiri mpaka mwenzie afe ndo aolewe coz pale kuna kuapa kwa shida na raha ...... Sasa izo ndo shida zenyewe avumulie tuuuu no matter what
 
Akipata talaka ya mahakamani yupo huru kuolewa na mwanaume mwingine. Afunge ndoa bomani baadaye akabariki kanisani if possible.
 
Back
Top Bottom