Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,835
Naomba nijuzwe, huu wimbo uliimbwa na nani na unaitwaje?
Umenikumbusha mbali, enzi nikiwa mdogo mm na ndugu zangu tulikua tunashindana kucheza mabreka, na kuna huu mwingine wa Michael J. unaimba makusamba kusamba makusa, tulikua tunacheza mpaka basi. Utoto raha jamani, NATAMANI KUWA MTOTO TENA
Hizo nyimbo zete zimeimbwa mkali wa pop MICHAEL JACKSON zikiongozwa na wimbo wa thriler ulimpatia umaarufu mkubwa na pesa nyingi kuliko albam zake zote.Kuna wimbo siukumbuki jina alipiga mwaka 1987 ujerumani magharibi,watu wa ujerumani mashariki waliparamia ukuta kuvuka wakaone shoo wengi walijeruhiwa na askari kipindi hicho nchi hizi zikuwa zimetengwa na ukuta uliojulikana kwa jina la BERLIN WALL,hakika umenikumbusha mbali nimewakumbuka akina EROTIKA MADONA,WHITNEY HOUSTON,MARVIN GEY,SIR ELTON JONH,LIEON RICH,UB 40,PETER TOSH,BOB MARLEY,JULIE EGLISHEZ,COOL AND THE GANG,CHAKACHAKA,na wengine wengi hako ndo kamchango kangu endeleaa
Aiseee!Umenikumbusha mbali, enzi nikiwa mdogo mm na ndugu zangu tulikua tunashindana kucheza mabreka, na kuna huu mwingine wa Michael J. unaimba makusamba kusamba makusa, tulikua tunacheza mpaka basi. Utoto raha jamani, NATAMANI KUWA MTOTO TENA
Uliimbwa na Black-Moses wa Tanzania.Unaitwa hivyohivyo!😂😂😂😂Naomba nijuzwe, huu wimbo uliimbwa na nani na unaitwaje?
Ollie & Jerry. In breakin no body stopin usUliimbwa na Black-Moses wa Tanzania.Unaitwa hivyohivyo!
Ollie & Jerry. In breakin no body stopin usNaomba nijuzwe, huu wimbo uliimbwa na nani na unaitwaje?
Iringa inaimbwa" mwamsemwa asamwe manusa" hatari mzeeAiseee!
Amchoma dola anusaaa,Aonaa tamu alambaaaaaaaaBjbj umenikumbusha....
akusamba kusamba Mwakyusa
katia kidole kanusa,
kenda kusema kwa Mussah,
Mussah nae kanusa. lol
Naona ndio huyo huyo atakua kaimba na huo wako..
Asante sanaOllie & Jerry. In breakin no body stopin us
Hivi,ni kweli ulikuwa hujui ustaadh?Asante sana