Maiko Jackson njooo.... Kama hutaki nenda.

Umenikumbusha mbali, enzi nikiwa mdogo mm na ndugu zangu tulikua tunashindana kucheza mabreka, na kuna huu mwingine wa Michael J. unaimba makusamba kusamba makusa, tulikua tunacheza mpaka basi. Utoto raha jamani, NATAMANI KUWA MTOTO TENA
 
Zamani kila wimbo mzuri tulikuwa tunajua wa Wacko Jacko
Umenikumbusha mbali, enzi nikiwa mdogo mm na ndugu zangu tulikua tunashindana kucheza mabreka, na kuna huu mwingine wa Michael J. unaimba makusamba kusamba makusa, tulikua tunacheza mpaka basi. Utoto raha jamani, NATAMANI KUWA MTOTO TENA
 
Ha haa haaa those were the days!

Ratiba yangu ilikuwa kama ifuatavyo,
Jummosi kama leo mida kama hii nakwenda zangu kuogelea TTI Club Kidatu huko,
saa saba nakwenda kuangua maembe Ng'ongo na makungu,
Saa tisa tunakwenda kuendesha malingi ya magari,
Saa 12 narudi TTI Club kuangalia Video ya KOmando john
Saa 2 narudi home nyumba namba 28
nikifika home napita mlango wa nyuma, mara naitwa na mshua kwa ajili ya bakora kwa nini sijakwenda Tuition kwa mwalimu Chacha?
Nikitoka kwenye bakora za mshua naingia chumbani ili mshua aone kuwa ameniumiza sana najifunga vitambaa sehemu zote nilizovimba kwa ajili ya bakora za mshua, then nakwenda kula na vitambaa (bandeji) zangu.

Hahaa haaaa.... Xmas sasa ikifika ngoma ndo hizo za kina Maiko Jackson, james Ingram, Mavin gaye, makali wetu wa ku-sakata dance alikuwa jamaa anaitwa Aigele na maulid mrisho washikaji ambao siku zote za sherehe kama hizo walikuwa wanachukua zawadi za Double cola na seven up!

Zamani raha sana ilikuwa...
 
Hizo nyimbo zete zimeimbwa mkali wa pop MICHAEL JACKSON zikiongozwa na wimbo wa thriler ulimpatia umaarufu mkubwa na pesa nyingi kuliko albam zake zote.Kuna wimbo siukumbuki jina alipiga mwaka 1987 ujerumani magharibi,watu wa ujerumani mashariki waliparamia ukuta kuvuka wakaone shoo wengi walijeruhiwa na askari kipindi hicho nchi hizi zikuwa zimetengwa na ukuta uliojulikana kwa jina la BERLIN WALL,hakika umenikumbusha mbali nimewakumbuka akina EROTIKA MADONA,WHITNEY HOUSTON,MARVIN GEY,SIR ELTON JONH,LIEON RICH,UB 40,PETER TOSH,BOB MARLEY,JULIE EGLISHEZ,COOL AND THE GANG,CHAKACHAKA,na wengine wengi hako ndo kamchango kangu endeleaa
 
Mnazikumbuka zile kalata za kwenye chewing gum, zilitoka mwaka 1987/88 na kalata ngumu kabisa kuipata ilikuwa ya Michael Jackson?
Hizo nyimbo zete zimeimbwa mkali wa pop MICHAEL JACKSON zikiongozwa na wimbo wa thriler ulimpatia umaarufu mkubwa na pesa nyingi kuliko albam zake zote.Kuna wimbo siukumbuki jina alipiga mwaka 1987 ujerumani magharibi,watu wa ujerumani mashariki waliparamia ukuta kuvuka wakaone shoo wengi walijeruhiwa na askari kipindi hicho nchi hizi zikuwa zimetengwa na ukuta uliojulikana kwa jina la BERLIN WALL,hakika umenikumbusha mbali nimewakumbuka akina EROTIKA MADONA,WHITNEY HOUSTON,MARVIN GEY,SIR ELTON JONH,LIEON RICH,UB 40,PETER TOSH,BOB MARLEY,JULIE EGLISHEZ,COOL AND THE GANG,CHAKACHAKA,na wengine wengi hako ndo kamchango kangu endeleaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom