Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,151
- 166,094
- Thread starter
- #21
Hatari sanaIringa inaimbwa" mwamsemwa asamwe manusa" hatari mzee
Hatari sanaIringa inaimbwa" mwamsemwa asamwe manusa" hatari mzee
Bwana weee, mashikolo mageniHivi,ni kweli ulikuwa hujui ustaadh?
Saba JacksonUliimbwa na Black-Moses wa Tanzania.Unaitwa hivyohivyo!😂😂😂😂
Naomba namba yake ya simu nimuimbiePana jamaa yangu ule wimbo wa ice of base all that she want yeye aliutaja kama o chachi panchi nikimkumbusha hutokea ugomvi mkubwa
Haha hahah hahahNa ile nyimbo ya Maiko Jaksoni,
Nataka binzali saba, nataka binzaliiii sabaaaa.
Sauti iwe bomba!Siyo umuimbie baritone kama ya mnywa gongo ya mihogo.😂😂😂😂Naomba namba yake ya simu nimuimbie
Nimecheka sana, hapo mezani kwenu walikuwa hawakucheki na matambara yako?Ha haa haaa those were the days!
Ratiba yangu ilikuwa kama ifuatavyo,
Jummosi kama leo mida kama hii nakwenda zangu kuogelea TTI Club Kidatu huko,
saa saba nakwenda kuangua maembe Ng'ongo na makungu,
Saa tisa tunakwenda kuendesha malingi ya magari,
Saa 12 narudi TTI Club kuangalia Video ya KOmando john
Saa 2 narudi home nyumba namba 28
nikifika home napita mlango wa nyuma, mara naitwa na mshua kwa ajili ya bakora kwa nini sijakwenda Tuition kwa mwalimu Chacha?
Nikitoka kwenye bakora za mshua naingia chumbani ili mshua aone kuwa ameniumiza sana najifunga vitambaa sehemu zote nilizovimba kwa ajili ya bakora za mshua, then nakwenda kula na vitambaa (bandeji) zangu.
Hahaa haaaa.... Xmas sasa ikifika ngoma ndo hizo za kina Maiko Jackson, james Ingram, Mavin gaye, makali wetu wa ku-sakata dance alikuwa jamaa anaitwa Aigele na maulid mrisho washikaji ambao siku zote za sherehe kama hizo walikuwa wanachukua zawadi za Double cola na seven up!
Zamani raha sana ilikuwa...
Kama id yako "Nashukuru" kwa kunivunja mbavu.Kunywa double cola moja au ski,ntalipa!😂😂😂😂Ha haa haaa those were the days!
Ratiba yangu ilikuwa kama ifuatavyo,
Jummosi kama leo mida kama hii nakwenda zangu kuogelea TTI Club Kidatu huko,
saa saba nakwenda kuangua maembe Ng'ongo na makungu,
Saa tisa tunakwenda kuendesha malingi ya magari,
Saa 12 narudi TTI Club kuangalia Video ya KOmando john
Saa 2 narudi home nyumba namba 28
nikifika home napita mlango wa nyuma, mara naitwa na mshua kwa ajili ya bakora kwa nini sijakwenda Tuition kwa mwalimu Chacha?
Nikitoka kwenye bakora za mshua naingia chumbani ili mshua aone kuwa ameniumiza sana najifunga vitambaa sehemu zote nilizovimba kwa ajili ya bakora za mshua, then nakwenda kula na vitambaa (bandeji) zangu.
Hahaa haaaa.... Xmas sasa ikifika ngoma ndo hizo za kina Maiko Jackson, james Ingram, Mavin gaye, makali wetu wa ku-sakata dance alikuwa jamaa anaitwa Aigele na maulid mrisho washikaji ambao siku zote za sherehe kama hizo walikuwa wanachukua zawadi za Double cola na seven up!
Zamani raha sana ilikuwa...
Jamaa kwao wana asili ya ukorofi korofi hiviNaomba namba yake ya simu nimuimbie
Enzi hizo huku kuna nyimbo za Bob Marley zipo hot.Naomba nijuzwe, huu wimbo uliimbwa na nani na unaitwaje?
ACE OF BASEPana jamaa yangu ule wimbo wa ice of base all that she want yeye aliutaja kama o chachi panchi nikimkumbusha hutokea ugomvi mkubwa
Miaka mingi ni sahihi ahsanteACE OF BASE