Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,543
- 14,451
Huu ni wimbo ulioimbwa na Mwanamuziki wa Africa ya Kusini Mwanamama Yvonne Chakachaka moja ya nyimbo bora dunian na zenye maudhui ya kuiambia dunia kuhusu upendo.
Huu wimbo uliimbwa na Mwafrika haukupata sana promotion, Huwa najiuliza kama huu wimbo ungekuwa umeimbwa na Cindy Lauper au Madonna Wazungu wangeu promote kwa namna gani?
Au Wasanii wangapi wa Kike waliokuja miaka ya 1990, 2000 wangeufanya Cover Wasanii wangapi?
Huyu Mwanamama aliimba hongera sana Yvonne Chakachaka.
View: https://youtu.be/ue7JbxHbs2s?si=s5XrNivnIxjtjzpI
Huu wimbo uliimbwa na Mwafrika haukupata sana promotion, Huwa najiuliza kama huu wimbo ungekuwa umeimbwa na Cindy Lauper au Madonna Wazungu wangeu promote kwa namna gani?
Au Wasanii wangapi wa Kike waliokuja miaka ya 1990, 2000 wangeufanya Cover Wasanii wangapi?
Huyu Mwanamama aliimba hongera sana Yvonne Chakachaka.
View: https://youtu.be/ue7JbxHbs2s?si=s5XrNivnIxjtjzpI