G
Tulijua tu kuwa kuna mfungwa amepaka mafuta na ngozi inamelemeta na glow alafu amsogelee Rais na kumnong'oneza. Script haijakaa sawa ile.Akirudi Newala mpige picha basi uirushe hapa...
Maigizo ya mfungwa wa samia yanakuathiri vipi?Hii nchi ya ajabu sana na hatujui lengo la haya maigizo ya yule mfungwa hususani wa kiume yanamaanisha nini.
Binafsi, namfahamu yule jamaa na kama kuna mtu wa Newala anaweza akawa anamjua yule jamaa.
Yule jamaa wa kiume sio mfungwa na hajawahi kufungwa popote. Namjua na anaishi Newala.
Jamaa anaitwa Rashid Juma anaishi hapa Kikuyu Newala st. Marry Street. Hajawahi kufungwa mahali Popote. Jamaa huwa anajifanyaga Mtu wa System na ni kada maarufu hapa Newala. Huu uongo wa Bibi yenu kama ulikuwa kwa lengo la kupoteza maboya(SPINNING) kuhusu Mafuta au kuhusu 29 October, mwambieni alete igizo lingine.
Inasikitisha sana. Huyu mama ni wa ajabu sana.
View attachment 3586582
Halafu kapiga perfume aina BOSS haaaa wafungwa Tanganyika wapo vizuri kweli kweli.Tulijua tu kuwa kuna mfungwa amepaka mafuta na ngozi inamelemeta na glow alafu amsogelee Rais na kumnong'oneza. Script haijakaa sawa ile.
Mtu mzima aache kudanganya watu au wewe unaona mtu mzima kufake matukio ni sawa.Maigizo ya mfungwa wa samia yanakuathiri vipi?
Ujumbe gani kuwa yeye ni kiongozi muongo muongo.Kiusalama sioni tatizo, muhimu kama ujumbe umefika kwa walengwa
Hadharani ili mumteke.Mi CHADEMA mnapenda sana uongo , uzushi na Majungu. Jitokeze hadharani utoe ushahidi wako.
Mbona wewe hujatekwa. Toka hadharani uweke ushahidi wako na siyo kuongea uongo na uzushi huku jukwaaniHadharani ili mumteke.
Bwashee sijajua ila nimeongelea kiongozi na sio kwa huyo wa kwenuUjumbe gani kuwa yeye ni kiongozi muongo muongo.
Hamuwezi kututeka wote, counterattack nzuri ni wewe kuprove kweli ni mfungwa.Mbona wewe hujatekwa. Toka hadharani uweke ushahidi wako na siyo kuongea uongo na uzushi huku jukwaani
Mi CHADEMA mnapenda sana uongo , uzushi na Majungu. Jitokeze hadharani utoe ushahidi wako.
Mbona wewe hujatekwa. Toka hadharani uweke ushahidi wako na siyo kuongea uongo na uzushi huku jukwaani