Mahusiano ya mbali ni balaa

Mahusiano ya mbali ni balaa

Kuna hili la tabia ni jambo moja ila ile ya Long distance ni Extreme level. Yani ipogi tu watanzania ni wanafiki sana to the core. Long distance ni kwa watu wanao value uaminifu kama wazungu.
Huwa haina mbali wala ukaribu, hizo ni tabia tu za watu.
Kama ulikua haujui basi ngoja nikujuze, watu wanaishi pamoja lakini kila mmoja akienda kwenye mihangaiko mwingine anatoka nyumbani kwenda kungonoka kwingine au mtu anaenda kazini lakini huko kazini bado anatoroka mara moja kwenda kubanjuka, na wakati mwingine huko kazini au mtaani watu wanajua kuwa anagusanishaga vikojoleo na fulani.
 
Yani ni movie mzee. 😄 Unaambiwa bby goodnight nmechoka leo. Simu ikikatwa after 5 mins ukiipiga ngoma inatumika yani "Line Busy"
mkuu hayo ndio huwa yanawatokea wengi, wengine wanapiga hadi video call kuhakiki usalama ila mtu anazunguka na camera ukikata tu watu wanamegana kilaini kabisa.
 
Yani ni movie mzee. 😄 Unaambiwa bby goodnight nmechoka leo. Simu ikikatwa after 5 mins ukiipiga ngoma inatumika yani "Line Busy"
Ukimpigia asipopokea, halafu asubuhi akakwambia"sorry, nililala mapema", mjibu kwamba "usijali, mimi mwenyewe ndiyo kwanza narudi asubuhi hii".
 
Kuna hao waliokuwa na ndoa yao, mume mkoa huu na mke mkoa ule. Walidumu miaka na miaka.

Baadaye walikata shauri mume amfuate mke wake mkoa ule ili waishi pamoja, na walifanikiwa.

Baada ya kuanza kuishi pamoja miezi kadhaa tu ndoa ikavunjika.
True Kuna ndoa zinadumu kwa watu kukaa mbalimbali.
Pana mwanamke mmoja tupo nae mme wake yupo mikoani anasema yeye na Mr wake hawawezi kaa pamoja muda mrefu ni lazimaa wakraruzane.
Wakiwa mbali wanamissiana.
Hapa ni ishu za spirit mama kambale baba kambale ni lazimaa mkeep distance.
Kuchapiwa ni tabia hata akikesha nayo anaimshia kwa mwingine.
 
Pana watumishi kwa level zao hawakai mkoa mmoja miaka Sasa utahama na familia kila mkoa ni lazima uweke base mkoa mmoja kwa maana ya watoto shule,plus uwekezaji wa kustaafu.
 
Kuna hili la tabia ni jambo moja ila ile ya Long distance ni Extreme level. Yani ipogi tu watanzania ni wanafiki sana to the core. Long distance ni kwa watu wanao value uaminifu kama wazungu.
Mkuu, trust me, long distance relationship haina tatizo.
Kuna long distance relationship na mahusiano ya mbali😃.
Long distance ni mahusiano na aliyepo nje ya nchi. Haya huwa hayana changamoto kivile.
Na mahusiano ya mbali ni yule aliyepo mikoani, yaani upo kikazi Tunduru au Namtumbo au Sikonge halafu shemeji yetu umuache Dar😃, hii huwa inafeli hii, yaani inaenda.
 
Huwa haina mbali wala ukaribu, hizo ni tabia tu za watu.
Kama ulikua haujui basi ngoja nikujuze, watu wanaishi pamoja lakini kila mmoja akienda kwenye mihangaiko mwingine anatoka nyumbani kwenda kungonoka kwingine au mtu anaenda kazini lakini huko kazini bado anatoroka mara moja kwenda kubanjuka, na wakati mwingine huko kazini au mtaani watu wanajua kuwa anagusanishaga vikojoleo na fulani.
Hapana. Umbali unamlazimisha mtu kuchepuka. Hii uliosema wewe ya watu kuchepuka hata wakiwa pamoja ndiyo tunaweza kusema ni hulka ya mtu.
 
Mwanandoa anayehamia mkoa mwingine kikazi akaweka doa kwenye ndoa anamaanisha kwamba alikuwa anaishi na mwenzake kinafiki. Yafaa adumishe ndoa yake kwa mbinu zozote zile bila kutumia uhamisho kama kisingizio cha kuhatarisha uhai wa ndoa.
 
Hapana. Umbali unamlazimisha mtu kuchepuka. Hii uliosema wewe ya watu kuchepuka hata wakiwa pamoja ndiyo tunaweza kusema ni hulka ya mtu.
Haya mambo siwezi kubisha mkuu, maana watu hujiwakilisha zaidi experience zao katika hili.
 
Back
Top Bottom