IshaLubuva
JF-Expert Member
- Dec 4, 2008
- 250
- 11
Kumekuwa na imani kwamba kuogea maji ya vuguvugu hupelekea mwili wa mtu kuzeeka mapema.
Juzi usiku Daktari Isack Ndodi alidokeza kwamba mwanamume anayetaka kuzaa mtoto wa kiume anatakiwa kuwa anaogea maji ya vuguvugu kwani akiogea maji ya baridi yanazorotesha mbagu zake zenye uwezo wa kutungisha mimba ya mtoto wa kiume.
Wadau wenye ufahamu wa masuala haya watupe ukweli wa mambo haya tafadhal.
Juzi usiku Daktari Isack Ndodi alidokeza kwamba mwanamume anayetaka kuzaa mtoto wa kiume anatakiwa kuwa anaogea maji ya vuguvugu kwani akiogea maji ya baridi yanazorotesha mbagu zake zenye uwezo wa kutungisha mimba ya mtoto wa kiume.
Wadau wenye ufahamu wa masuala haya watupe ukweli wa mambo haya tafadhal.